Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Niyonzima ataka mageuzi ya kikosi

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima, anayechezea timu ya Yanga, ametaka kuwapo umoja na mshikamano kati ya viongozi na wanachama kwa maslahi ya klabu hiyo kisoka na kiuchumi. Niyonzima,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Maafa Mecca: Mfalme ataka mageuzi hijja

Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa agizo la kupitiwa upya kwa masuala ya hija baada ya watu zaidi mia saba kufariki kutokana msongamano nje ya msikiti wa Macca.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miliband ataka mageuzi chama cha Labour

Wanachama wa Labour wanatarajia kuyapigia kura mapendekezo ya kufanyika mageuzi ndani ya chama hicho

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika ataka vuguvugu la mageuzi lijikite Moshi Mjini

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Tanzania Bara), John Mnyika ametaka vuguvugu la mageuzi lililojikita katika mji wa Moshi, lihamie majimbo mengine sita katika Uchaguzi Mkuu ujao.

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima asimamishwa

UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kiungo wake Haruna Niyonzima kwa muda usiojulikana. Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda alichelewa kuungana na wenziwe baada ya kutoka mapumziko bila kutoa taarifa zozote mpaka juzi aliporudi akiwa amefunga bandeji ngumu (P.O.P) mguuni kwa madai aliumia kwenye michuano ya Kombe la Chalenji Ethiopia alipokuwa akiichezea timu yake ya taifa.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga stronger than ever, says Niyonzima

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

11 years ago

TheCitizen

We still have a chance, says skipper Niyonzima

Amavubi Stars captain Haruna Niyonzima is upbeat ahead of the return leg against Congo Brazzaville though he was left disappointed after his side lost 2-0 in the first leg of the 2015 Africa Cup of Nations qualifier in Pointe-Noire last weekend. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani