#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri leo duniani) Jan 6
Hizi ni habari 10 kwa ufupi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari duniani zilizoandikwa Jumanne hii. 1. Steven Gerrard kuhamia LA Galaxy ya Marekani Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard yupo mbioni kumaliza makubaliano ya kusaini mkataba wa miezi 18 na timu ya soka ya Los Angeles Galaxy ya Marekani. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Jan
#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri leo duniani) Jan 5
Hizi ni habari 10 kwa ufupi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari duniani zilizoandikwa Jumatatu hii. 1. Jay Z na Beyonce kuwekeza kwenye timu ya soka ya Beckham itakayoanzishwa Marekani Jay Z na mke wake, Beyonce wanadaiwa kuwa na mpango wa kuwekeza kwenye klabu ya soka ya nchini Marekani itakayomilikiwa na David Beckham. Beckham yupo kwenye […]
10 years ago
Bongo502 Jan
#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri leo duniani) Jan 2
Hizi ni habari 10 kwa ufupi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari duniani zilizoandikwa Ijumaa hii. 1.Waasi wa ISIS wadaiwa kujiambukiza Ebola Shirika la afya duniani linachunguza ripoti kuwa wanamgambo wa ISIS wamekuwa wakionekana kwenye hospitali ya Iraqi wakiwa na Ebola. Kwa mujibu wa vyombo vitatu vya habari idadi isiyojulikana ya wanamgambo hao wakiwa na dalili […]
10 years ago
Bongo507 Jan
#NjeyaBongo (Habari 10 kwa ufupi zilizojiri Jumatano hii, Jan 7
Hizi ni habari 10 kwa ufupi kutoka vyanzo mbalimbali vya habari duniani zilizoandikwa Jumatano hii. 1.Dr. Dre na Jimmy Lovine washtakiwa na partner wao wa zamani wa Beats Electronic Producer Dr. Dre na mwenzie Jimmy Iovine wameshtakiwa na partner wao wa zamani kwenye kampuni ya Beats Electronics. Noel Lee, mwanzilishi wa Monster Llc, amewasilisha madai […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ODodsbr0Sj4/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Habari za biashara kwa ufupi
Wakulima wa zao la Pareto kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya watachangia Sh43.2 milioni watakazotoa kwa njia ya ushuru katika kipindi cha mwaka 2014/15, ilielezwa.
10 years ago
Vijimambo08 Feb
HABARI MBALIMBALI KWA UFUPI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2616936/highRes/940273/-/maxw/600/-/i559ku/-/jk+px.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Habari za biashata kwa ufupi
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri amepiga marufuku mahakama za kijadi maarufu kwa jina la “Ndaga shida†kukamata, kutesa na kuwatoza fedha na mifugo wananchi wanaotuhumiwa kutenda makosa mkoani hapa.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa
Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s72-c/images.jpg)
BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania