Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NMB MASTERCARD YAZINDULIWA RASMI KWA MKOA WA ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Felix Tibenda (Pili kushoto) akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bi. Ineke Bussemaker kwa uzinduzi wa NMB Mastercard kwa Mkoa wa Arusha na Kanda nzima ya Kaskazini.Wakishuhudia ni Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini Bw.Salie Mlay(kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Bw.Abdulmajid Nsekela.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NMB MASTERCARD YAZINDULIWA RASMI KWA MKOA WA ARUSHA‏


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Felix Tibenda (pili kushoto) akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bi. Ineke Bussemaker kwa uzinduzi wa NMB Mastercard kwa Mkoa wa Arusha na Kanda nzima ya Kaskazini.Wakishuhudia Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini Bw.Salie Mlay(kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Bw.Abdulmajid Nsekela .…

 

10 years ago

Michuzi

NMB MasterCard yazinduliwa Mkoa wa Mbeya.

Mkaguzi Mkuu wa ndani wa NMB Bw. Augustino Mbogella (pili kushoto) akimpa mkono Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Bw. Nyirembe Sabi baada ya uzinduzi rasmi wa familia ya kadi za NMB MasterCard kwa Mkoa wa Mbeya na Kanda nzima ya Nyanda za Juu. kadi hizo zikiwa ni :Tanzanite, Titanium na World Reward MasterCard. Wakishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Nyada za Juu Bi.Lucresia Makiriye na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wakubwa wa NMB Bw. Filbert Mponzi. Sehemu ya Wageni waalikwa.Shurkani kwa wateja wetu...

 

9 years ago

GPL

NMB MASTERCARD MWANZA SASA RASMI KANDA YA ZIWA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Baraka Konisaga (pili kushoto) na Mhazini wa NMB - Aziz Chacha wakipongezana baada ya kuzindua NMB Master Card kwa Mkoa wa Mwanza na Kanda nzima ya Ziwa katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza.Aina tatu za Kadi za NMB Mastercard zilizozinduliwa ni: Tanzanite kwa ajili ya wateja wa kawaida,Titanium kwa ajili ya wateja wa kati na NMB World Reward MasterCard kwa ajili ya wateja wa kipato cha...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA

 Wadau wa benki ya NMB pamoja na wageni waalikwa wakisikiliza kwa umakini hotuba ya mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya MasterCard itakayoanza kutumiwa rasmi na benki hiyo. Uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Haytt Regency zamani Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Rais wa Master Card kanda ya Afrika ya kati, Bw. Michael Mieback, akiwahutubia wadau wa Benki ya NMB wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya NMB, Mastercard na EYWA washirikiana kuleta mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri Tanzania

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Mastercard na kampuni ya utoaji huduma za usafiri - EYWA, wamezindua mfumo mpya wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri nchini Tanzania. Mfumo huo unaojulikana kama ‘EYWA Transit Solution’, utawawezesha wasafiri kukata tiketi kwa njia ya kidijitali kupitia simu za mkononi na kadi maalumu. 

Suluhisho hili linalenga kutatua changamoto za huduma za usafirishaji nchini kwa kupunguza matumizi ya mfumo wa malipo ya fedha taslimu na kuwa katika njia ya...

 

10 years ago

TheCitizen

NMB, MasterCard in new tie-up

The National Microfinance Bank (NMB) has signed an agreement with MasterCard that will see the latter rolling out 1.5 million payment cards for the bank’s customers.

 

10 years ago

Michuzi

Michuano ya Airtel Rising Stars Mkoani Arusha Yazinduliwa Rasmi

Katibu tawala mkoa wa Arusha Ado Mapunda jana alizindua mashindano ya kuibua vipaji vya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars jijini Arusha na kuwataka vijana wanaoshiriki mashindano hayo kujituma na kucheza kwa bidii ili kutimiza ndoto zao za kuwa wachezaji nyota.
Hafla ya ufunguzi ilihudhuliwa na viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) mkoa wa Arusha, mdhamini wa mashindano Airtel Tanzania na wadau wengine wa soka. Ufunguzi huo uliufanyika katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NMB kutoa kadi za MasterCard

BENKI ya National Microfinace (NMB) na MasterCard, wamekubaliano kutoa kadi milioni 1.5 za malipo za MasterCard kwa wateja wake zitakazopunguza utumiaji wa fedha taslimu na kuongeza malipo ya elektroni. Makubaliano...

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA USA RIVER-ARUSHA

 Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Nyerembe D. Munasa Sabi (kati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Usa River.Wakishuhudia kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Biashara kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Richard Makungwa pamoja na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Vicky Bishubo . Hafla ya uzinduzi wa tawi hili la NMB Usa River umefanyika mwanzoni mwa wiki katika viwanja vya tawi hili mkoani Arusha.

 Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya uzinduzi huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani