NMB YAZINDUA MATAWI MAPYA TABORA NA SHINYANGA

Benki ya NMB hivi karibuni imezindua matawi mapya mawili yaliyopo kwenye mikoa ya Tabora na Shinyanga. Hii ni habari njema kwa wakazi wa maeneo hayo na kwa wateja wa benki ya NMB kwa ujumla ambapo awali walitembea umbali mrefu kwa ajili ya kupata huduma za kibenki.
Kuongeza matawi hayo yanamaanisha NMB imewafikia wateja wake katika kila wilaya nchini.
Uzinduzi wa matawi hayo NMB Kaliua na NMB Kishapu yamezidi kuongeza idadi ya matawi ya NMB yaliyotapakaa nchi nzima kuwa zaidi ya 170.
Tawi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogNMB YAZINDUA HUDUMA YA BIMA ITAKAYOPATIKANA MATAWI YAKE YOTE NCHINI
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
FNB yafungua matawi mapya
Meneja Usambazaji na Matawi, Bi. Masala Korosso wa FNB Tanzania akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa matawi mapya ya benki hiyo yaliyofunguliwa Sinza Kijiweni na Mbagala Zakhem kwa lengo kusogeza huduma kwa wateja pamoja na kuhudumia biashara ndogo na za kati zinazokua kwa kasi katika maeneo hayo. Kushoto ni Meneja Huduma za Rejareja wa Benki hiyo Emmanuel Mongella (Picha: Executive Solutions).
Meneja Huduma za Rejareja wa FNB Tanzania Emmanuel Mongella Meneja Usambazaji...
10 years ago
Vijimambo
MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CHADEMA ,JAFARY MICHAEL AFUNGUA MATAWI MAPYA MOSHI






5 years ago
Michuzi
HUDUMA ZA BIMA SASA KUPATIKANA KATIKA MATAWI YOTE YA BENKI YA NMB


10 years ago
MichuziZitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo
10 years ago
TheCitizen15 Sep
Candidates descend on Shinyanga, Tabora
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
NMB yazindua tawi Turiani
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amezindua jengo jipya la tawi jipya la NMB Turiani katika wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki ambapo zaidi...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
NMB yazindua kampeni ya Jihudumie
BENKI ya NMB imezindua kampeni ya Jihudumie yenye lengo la kumwezesha mteja kupata huduma kirahisi kwa kujihudumia mahali alipo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa huduma...
11 years ago
GPL
‘BALIMI’ FESTIVAL TABORA, SHINYANGA YAPATA WAWAKILISHI