NSSF YAKABIDHI KADI ZA UANACHAMA KWA WANACHAMA WA HIARI KUTOKA TAASISI YA PFT
Hadi kufikia sasa PFT imefanikiwa kuunda jumla ya vikundi 150 vyenye wanachama 3,865 , wanawake wakiwa 3469 na wanaume 396, wanachama hao wamewekeza jumla ya sh. 1,443,806,510 kupitia mpango wa ununuzi wa hisa za kila wiki.
Katika risala yao wanachama hao wapya wa kutoka taasisi ya PFT walisema “Bodi ya wakurugenzi ya PFT na wanachama wote wa vicoba vinavyoratibiwa na Poverty Fighting Tanzania wameiomba NSSF kupitia Saccos Scheme iwasaidie kupunguza tatizo la mitaji midogo kwa wanachama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNSSF YATOA WITO KWA WANACHAMA WA HIARI KUJIUNGA NA UANACHAMA
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limewataka wafanyakazi wasio katika sekta isiyo rasmi kujiunga na NSSF ili kuboresha maisha yao ya sasa na baadae.
Akizungumza wakati wa Bonanza la Michezo kwa Makampuni, ambapo NSSF ilikuwa ni miongoni mwa wadhamini Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Said Malawi alisema kuwa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), imekuwa ikitoa elimu kwa wanachama wa kupitia huduma ya NSSF Mobile kwenye M-PESA.
Kwa kuwajali wanachama...
11 years ago
Michuzi17 Jul
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
10 years ago
MichuziNSSF YAKABIDHI NYUMBA KWA WASANII WA ORIJINO KOMEDI
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
NSSF yaendesha semina kwa waajiri, wanachama
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, amewataka waajiri na wanachama wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kujadili changamoto zinazokabili shirika hilo na...
9 years ago
MichuziNHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s1600/si1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud_kIEDbWPw/U4hu0fRzQLI/AAAAAAAFme4/MUL5cqpBRZo/s1600/si2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi Seif akabidhi kadi kwa wanachama wapya 15 wa CCM Mkoa wa Magharibi,Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCnQBA2VxJM/U5xOYp9FVgI/AAAAAAAFqo4/TLP3SsP0o9M/s1600/unnamed+(1).jpg)