Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ntalima: Naomba msaada mwanangu akatibiwe nje

>Waswahili husema ‘kuzaa si kazi, bali kazi ni kulea’. Kuzaa ni jambo la kawaida kwa wazazi  ambao hufurahia watoto wao. Kwa wale wanaokosa watoto kutokana na sababu mbalimbali inakuwa balaa kwao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UNDP YATOA MSAADA KWA WIZARA YA MAMBO YA NJE

Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa, Bw. Alvaro Rodrigues (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy msaada wa Vifaa vya mawasiliano (Cameras, printers na Computers) kwa ajili ya kitengo cha Mawasiliano ya Serikali cha Wizara ya Mambo ya Nje.
Mazungumzo yakiendelea....

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja

DSC_0364

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.

DSC_0366

Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.

DSC_0373

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mambo ya Nje wakabidhi msaada wa vyandarua kwa Hospitali nane Zanzibar

DSC_0364

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.

DSC_0366

Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.

DSC_0373

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

9 years ago

Michuzi

HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI

Na  Ghalib Nassor Monero
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga  Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA TANZANIA WAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA KWA AJILI YA HOSPITALI NANE ZINAZOLAZA WAGONJWA UNGUJA NA PEMBA.

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja. Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Naomba yasinikute ya Warioba

Rais Jakaya Kikwete amesema anaomba yasimkute ya Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba aliyeshambuliwa katika mdahalo wa katiba uliofanyika Dar es Salaam, juzi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Naomba niseme nawe Magufuli

Kwako ndugu John Pombe Magufuli,

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hunter: Naomba maoni ya mashabiki

MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya nchini Hamis Omary ‘Hunter’ amekiri kuwa ubora wa video za nyimbo mbalimbali zinazofanya vizuri katika soko hapa nchini na nje ni kigezo kikubwa...

 

10 years ago

Habarileo

JK- Katiba hii nzuri, naomba muipokee

RAIS Jakaya Kikwete ameomba wananchi waipokee katiba inayopendekezwa kwa kuwa ni nzuri na hana wasiwasi nayo. “Tumefika mahali pa kuanza safari ya uamuzi wa mwisho kwa kupiga kura.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani