Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nuhu Mziwanda ni limbukeni — BASATA

Baada ya Nuh Mziwanda kulitaka Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kwendana na wakati kuhusiana na jinsi inavyokwenda, baraza hilo limemjibu kwa kumuita limbukeni. Akizungumza na na Planet Bongo ya EA Radio, Mkuu wa matukio wa baraza hilo, Maregesi alisema Nuh asidhani kufanya muziki wa nje ndio kuwa na soko. “Huyo anayesema kitu kama hicho ana […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa

Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.


Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuhu Mziwanda afunguka tuhuma za kupewa kichapo kizito na Shilole

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa  watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake 'Nuh Mziwanda'.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake ‘Nuh Mziwanda’.

“Jamani kupigwa wanakozungumzia watu sielewi...

 

11 years ago

CloudsFM

NUHU MZIWANDA APONDWA MTANDAONI BAADA YA KUJICHORA TATOO YENYE JINA LA SHILOLE

STAA wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda amepondwa na mashabiki wake mtandaoni baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ambaye pia ni msanii mwenziye Zuwena Mohamed’Shilole’ambapo wamemuhoji kama wakiachana atachoma tattoo hiyo kwa pasi?Msanii amepost picha hiyo ya tattoo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika…Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??...Baadhi ya mashabiki walisema kuwa…. Duuh namuonea huruma sana huyu...

 

10 years ago

Vijimambo

Kinenuka..Audio: Shilole na Nuhu Mziwanda wameongea haya juu ya kuachana kwao walipo hojiwa


Ugomvi baina ya wapenzi waliodumu kwa takribani miaka miwili namzungumzia Shilole na Nuhu Mziwanda umeonekana kuthibitishwa kuwa sio kutafuta Kick kama ilivyo dhaniwa bali niukweli wamemwagana kama wenyewe walivyo thibitisha kwaGossip Cop wa XXL ya Clouds FM.
Shilole ameweka wazi kuwa Nuhu kwake sio mpenzi tena na ikibidi kutafuta mwingine atakaye weza kumfaa na kukaa naye maisha yakaendelea, Akimainisha kuwa walishafanya ngoma ya pamoja lakini hawezi kuitoa kwa sasa kutokana na kuachana...

 

10 years ago

GPL

NUHU MZIWANDA ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Nuhu Mziwanda ndani ya studio za Global TV Online. Nuhu Mziwanda akipozi na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D'.…

 

9 years ago

Bongo5

Nuh Mziwanda adai BASATA wamemalizana na Shilole, wao wakanusha

Nuh Mziwanda amedai kuwa kabla Shilole hajaondoka kwenda nchini Marekani walimalizana kila kitu na BASATA. Nuh amesema vibali alivyochukua Shilole BASATA ndio vilivyomwezesha kuchukua visa ya kusafiria. “Ili upate urahisi wa kupata visa lazima upate vibali vyote vya BASATA,” Nuh aliambia XXL ya Clouds FM. “Kwahiyo ilibidi awe na vibali vyote vya BASATA kwasababu BASATA […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Atema Mkwara Kwa ‘Videmu’ Vinavyomshobokea Mziwanda, Aweka Picha Wapi Amemtoa Mziwanda

Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Shilole ameandika mkwara huo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram mara baada ya kuweka picha hizo mbili  hapo juu za mchumba wake Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni alidaiwa kumpa mimba masichana anaefahamika kwa jina la hata hivyo mziwanda alikanisha taarifa hizo.

Kutoka pic ya kwanza mpaka ya pili sio kaz ndogo aiseee haraf nashangaaa videm from no where vinaanza shobo mamaeeeee zenu kama mnatumwa kufitinisha mapenz yetu mmefeli mimi...

 

11 years ago

GPL

HASARA 3 ZA KUOA MWANAMKE MZURI, ‘MWENYE NAZO’ ILA LIMBUKENI!

Awali ya yote naomba niseme kwamba, raha ya ndoa ni kumpata mtu ambaye anajua maisha na anajua mapenzi pia. Ukipata mwanamke ambaye anajua kutafuta pesa tu lakini kwenye ulimwengu wa mapenzi ni limbukeni, atakusumbua sana. Lakini pia ukijichanganya ukaoa mwanamke ambaye ni mtaalam wa mapenzi lakini hajui pesa inavyotafutwa, nalo ni tatizo licha ya kwamba kwa wengine si tatizo kwani wapo ambao hawataki kuoa wanawake wenye vipato...

 

10 years ago

GPL

NUHU, SHILOLE YANAKUJAJE KIZAZI HIKI?

BAHATI mbaya sana, simjui huyu bwana mdogo, anayekwenda kwa jina la Nuhu Mziwanda, aliyekuwa rafiki wa kiume wa msanii anayekimbiza katika muziki wa mduara, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole. Naambiwa naye ni msanii wa muziki wa kizazi kipya, ingawa sijawahi kuisikia kazi yake yoyote. Lakini nikiri kuwa nimeiona picha yake mara nyingi, akiwa na mpenziwe na hata na watu wengine. Ni kijana mtanashati anayeweza kuwavutia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani