NYAMBUI AWAAGA WATANZANIA AKISONONEKA
Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui (kushoto) akikabidhiwa suti ya michezo yenye bendera ya Tanzania kutoka Meneja Mauzo wa Kampuni ya Isere Sports, Abbas Ally atakazozitumia wakati akifundisha riadha nchini Bunei barani Asia ambako amepata mkataba wa kufundisha riadha kwa miaka miwili. (Picha na Peter Mwenda).
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Isere Sports,Abbas Ally akimkabidhi zawadi ya suti Katibu Mkuu wa zanmani wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT),...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA WATANZANIA MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s72-c/Mkwasa1001.jpg)
MKWASA KUINOA STARS, NOOIJ AWAAGA WATANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijVP_HH-dBA/VYle9dTqrqI/AAAAAAAHi0U/p9Q_jM1p7T4/s400/Mkwasa1001.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.
“Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika...
10 years ago
Vijimambo26 Jul
Mhe. Balozi Liberata Mulamula awaaga waTanzania nyumbani kwake
Pia, alipata fursa ya kuzungumza machache.
Karibu
Broadcast live streaming video on Ustream
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Nyambui: Tujitoe Madola
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, ameitaka Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), kuifuta Tanzania kushiriki mashindano ya kimataifa hadi itakapokuwa imefanya maandalizi ya kutosha. Kauli hiyo...
11 years ago
TheCitizen03 May
Nyambui says Sekilu is a liar
11 years ago
TheCitizen11 Feb
Nyambui: No athlete has Games marks
10 years ago
IPPmedia03 May
AT general secretary Suleiman Nyambui
IPPmedia
IPPmedia
The Tegeta Escrow account scandal which shook the country late last year also affected Athletes Tanzania (AT) as the sporting organisation failed to get sponsorship funds from Independent Power (Tanzania) Ltd during the confusion, it has been revealed.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Nyambui ataka kung’atuka RT
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Nyambui aitupia zigo mikoa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amevitupia lawama vyama vya mchezo wa Riadha vya Mkoani kwa maandalizi duni ya wanariadha wao ambao wamewakilisha katika mashindano ya...