Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyani aliyejipiga picha azua mvutano wa kisheria

Mtandao wa Wikipidia umekataa kufuta picha ambayo Nyani ilijipiga ikisema kuwa kwa sababu picha hiyo ilipigwa na Nyani ambaye ni mnyama wala sio binadamu, basi inakuwa mali ya umma.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu

Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo

bernard-membe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.

Na Mwandishi wetu.

Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia  jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.

Taarifa iliyotolewa na  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa,  ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya,  Ismail Nwairat amefariki dunia  kwa kujipiga risasi.

Hata...

 

10 years ago

GPL

NYANI AGAWA PESA INDIA

Nyani aina ya Macaque sawa na yule aliyegawa fedha kwa wananchi. NYANI mmoja katika Jimbo la Himachal Pradesh, Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa taslimu kutoka mtini. Taarifa zinasema kuwa watu waliokuwa wanajivinjari katika mji wa Shimla jimboni humo, walianza kukimbia huku na kule wakiokota pesa zilizokuwa zinarushwa na nyani huyo kutoka juu ya mti kwa karibu saa moja. Walioshuhudia tukio hilo walisema kuwa nyani huyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wa Nyeri walia na Nyani

Nyani na tumbili wanaofugwa kwenye hifadhi ya wanayama, wavamia mashamba ya raia na kuwashambulia wanawake na mazao yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je umewahi kuona nyani na simba pamoja?

Afisa mmoja wa utalii nchini Afriika Kusini alifanikiwa kupata picha isio ya kawaida ya nyani akimbeba mwana wa simba katika mbuga ya kitaifa ya wanyamapori ya Kruger Afrika Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Waomboleza kifo cha Nyani India

Wanakijiji 200 nchini India walinyoa nywele kama ishara ya kuomboleza kifo cha Nyani mmoja aliyekuwa akiishi akribu na hekalu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyani awagawia watu pesa India

Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa halisi.Katoa wapi pesa hizo?

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyani wazima kituo cha redio Zimbabwe

Nyani wasumbufu katika kijiji cha Zvishane mjini Zimbabwe wamedaiwa kukizama kituo kimoja cha cha redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Acha kumaindi, nyani hakondi msimu wa mahindi

Samtaimz mjue huwa nakaa na kukukumbuka longtaim, mabraza walivyokuwa wakinizungua na visenti vyao wakati nikiwaibukia kuwapiga mizinga ya hapana pale, hasa ile isiyokuwa na msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani