Nyani aliyejipiga picha azua mvutano wa kisheria
Mtandao wa Wikipidia umekataa kufuta picha ambayo Nyani ilijipiga ikisema kuwa kwa sababu picha hiyo ilipigwa na Nyani ambaye ni mnyama wala sio binadamu, basi inakuwa mali ya umma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Dec
Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.
Na Mwandishi wetu.
Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa, ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat amefariki dunia kwa kujipiga risasi.
Hata...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVcN7T4W1Teq4RXPqXG6IZnpYtaqiHkKCUZxFRREXHmF-LcNM60*A11V7XRX4hLGUpbJmQ9L0p11XlfyAoqpeEb/nyani.jpg?width=650)
NYANI AGAWA PESA INDIA
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wanawake wa Nyeri walia na Nyani
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je umewahi kuona nyani na simba pamoja?
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Waomboleza kifo cha Nyani India
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Nyani awagawia watu pesa India
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Nyani wazima kituo cha redio Zimbabwe
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Acha kumaindi, nyani hakondi msimu wa mahindi