Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYERERE ALIVYOLIZA WATU UWANJANI-2

MWALIMU Julius Nyerere baada ya kustaafu urais mwaka 1985, aliondoka jijini Dar na kurejea moja kwa moja Butiama, mkoani Mara. Tulieleza jinsi alivyoliza watu Uwanja wa Ndege wa Zamani (Terminal One), waliokwenda kumuaga. Baada ya kupanda ndege safari ilianza kuelekea kwao. Mwalimu Nyerere alipoingia kijijini Butiama hakutaka kwenda nyumbani kwake moja kwa moja. Badala yake alikwenda nyumbani kwa kaka yake, Chifu Edward Wanzagi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AAIBIKA UWANJANI

Dustan Shekidele, Morogoro
NYOTA wa kuigiza sauti za watu maarufu aliye pia mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ wikiendi iliyopita alijikuta akiaibika kwa kuzomewa na kupopolewa kwa chupa za maji na mashabiki wa Klabu ya Simba baada ya kuingia uwanjani na demu aliyevaa ‘kihasarahasara’. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’akiwa na...

 

11 years ago

Bongo5

Steve Nyerere anusurika kuvamiwa na watu wenye mapanga

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steve Nyerere amesema jana wakati anaelekea nyumbani kwake amenusurika kuvamiwa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha mbalimbali yakiwemo mapanga. Kupitia Instagram Steve ameandika: Eeeeeeee Mungu leo nilikuwa na kikao ca PSPF asubuhi jioni ndugu yangu rafiki Devis Mosha akatualika kwake badaye nikawa na wageni wangu toka shinyanga wakati narudi home […]

 

11 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere alia na watu wanaomzushia kuwa yeye ni shoga.

Mwenyekiti wa bongo movie Unity, Steve Nyerere amechukizwa na watu wanaotumia mitandao vibaya na kwa kumzushia kuwa ni shoga.

 

Steve Nyerere kupitia akaunti yake ya facebook ameandika:

Napenda kuchukua fursa hii kuongea machache na kama mtaboa mtu naomba samahani najua binadamu tumezaliwa tofauti sana kuna wale wanaogopa zambi na kunawale wanopenda zambi mimi daima nasema izo ni changamoto tuuu ok nimepata taarifa umu umu kwenye mitandao yetu ya kijamiii hususani huuu kwamba kuna binti...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA

 Idara ya Uhamiaji nchini  imewakamata raia wanane  wa kigeni  (pichani chini) wakati wakiingia nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu  Nyerere wakiwa na pasipoti bandia za kusafiria za Mataifa tofauti ya Ulaya. 

Wageni hao walikuwa wakijaribu kuingia nchini leo tarehe 15.08.2014 majira ya saa nane na nusu usiku kwa ndege ya shirika la ndege la Uturuki yenye Namba TK 603,  wakitokea Uturuki na kujitambulisha kuwa ni raia wa Sweden na Belgium. 

   Maofisa Uhamiaji katika kituo...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara jana , aliposimama kwa muda akielekea kwenye mkutano wa kampeni wilayani huo leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akiweka shada la la maua alipozuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo wilayani Butiama,...

 

10 years ago

TheCitizen

NYERERE DAY: Untold story of how Nyerere won Africa’s deadly war

>As the nation commemorates the 15th anniversary of the death of founding president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, fresh details  have emerged on how the globally acknowledged statesman built an eight-year-long case as a curtain raiser to  the war against General Idi Amin Dada – one of Africa’s most brutal dictators.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani