Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba inauzwa Iringa

Nyumba  hii   ipo katika hali nzuri  na  kuna  wapangaji wanaishi ipo Mkimbizi kata ya Mtwivila mjini  Iringa umbali wa Km 4 kutoka barabara kuu ya Iringa-Dodoma
Sifa  zake> Ina vyumba  vitatu  vya kulala, choo cha  ndani, stoo,jiko na Sebule kubwa>Hati  ipo nyumba   ipo na  vielelezo vyote nyeti vipo>Eneo ambalo  limejengwa ni alisimia 30  ya  uwanja > uwanja una  ukubwa wa Skwea mita 525 >Maji na umeme  upo> Barabara inafika hapa nyumbani Nyumba  hii  ilikukuwa ikiuzwa  Tsh milioni 60...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NYUMBA INAUZWA

Nyumba ya kisasa inayouzwa jijini Arusha, ipo maeneo ya Njiro Block CBei maelewano kwa anayeihitaji. Kwa Maelezo zaidi piga simu +255 759 929 271 
Ni Nyumba ya kuishi familia na iko vizuri kabisa.Muonekano wake kwa upande wa juuMuonekano wake kwa upande wa pembeni.inavyoonekana Ndani.Bustani.

 

10 years ago

Michuzi

nyumba inauzwa tabata mawenzi, Dar es salaam

 Ina nyumba mbili ndani kubwa na ndogo na zote zipo ndani ya fensi na kila moja inajitegemea luku yake na zote mbili system ya maji inafanya kazi safi kabisa na ndani kuna kisima cha maji cha umeme na kuna matanki mawili moja lina lita 5000 na lingine lita 2000 na maji yake yananyweka hayana chumvi.Nyumba kubwa ina vyumba vitatu kimoja masteroom na viwili single na kuna puplic toilet ipo ndani pia kuna store jiko sebure kubwaa na siting room kubwa, wakati nyumba ya nyuma ina chumba sebule na...

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA INAUZWA GONGO LA MBOTO MWISHO WA LAMI

Nyumba inauzwa iko, Gongo la Mboto mwisho wa Lawi, Mita 50 kutoka barabara kuu, Gari inafika mpaka mlangoni bila matatizo yeyote, Nyumba ina vymba vitatu, kimoja master bedroom, Inajiko, dinning na sebure kubwa na uwa mkubwa Nyumba ina Umeme na Ac 2, Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715 001 975 au 0787 999 774 Muonekano wa mbele wa nyumba hiyo... Muonekano wa mpaka wa nyumba hiyo. Nguzo ya umeme...ambayo ipo katika ukuta.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA GOROFA MOJA INAUZWA MBEZI BEACH

NYUMBA NZURI YA GOROFA MOJA, ILIYOPO MBEZI BEACH GOIG JIJINI DAR ES SALAAM INAUZWA. IKO MTAA WA PILI KUTOKA BARABARA KUU (BAGAMOYO ROAD). INA HATI, UMEME, MAJI NA CAR PARKING YA KUTOSHA. Kwa mazungumzo ya bei na maelezo zaidi, piga simu namba:…

 

11 years ago

GPL

NYUMBA INAUZWA MIL 200, IPO MBEZI

-Ipo Mbezi Mwisho karibu na Mbezi High School
-5 Km kutoka barabara ya Morogoro
-Ina eneo la hekta mbili na nusu
-Ina vyumba 4 vya kulala, 3 Master…

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka

NYUMBA ya kupanga mjini Iringa inahitajika haraka sana.  Sifa zake ni vyumba viwili na sebule kimoja. Chumba kimoja kiwe masta. Ama chumba kimoja Masta na sebule Nyumba iwe kati ya Wilolesi , Lugalo, Kihesa , Gangilonga , Ilala , Makorongoni ama Mshindo   Kodi yake isizidi zaidi ya 150,000 kwa mwezi mteja anataka kulipa kodi ya miezi mitatu kwa mara moja.    Angalizo: hatuhitaji dalali tunataka mwenye nyumba mwenyewe kuwasiliana nasi.    kama una nyumba ...

 

11 years ago

CloudsFM

LORI LAACHA NJIA LAGONGA NYUMBA LAUA WATANO PAPO HAPO,LAJERUHI WATATU IRINGA

AJALI mbaya ya gari im,etokea usiku wa leo mkoani Iringa baada ya lori la mizigo lenye namba za usajili T 801 ACD lililokuwa likielekea mkoani Mbeya kuacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa ikitumiwa kama sehemu ya klabu cha kuuzia pombe za kienyeji na kusababisha vifo vya watu watano papop hapo wakiwemo watatu wa familia moja.Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa leo katika eneo la njia panda ya makumbusho ya Isimila kata ya Mseke wilaya ya Iringa katika barabara kuu ya Iringa -...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani