Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama apinga ubadilishaji wa maumbile

Rais Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha maumbile yao linafaa kukoma mara moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI

TAARIFA KWA UMMA
UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZA UBADILISHAJI WA MATOKEO YA MITIHANI
Utangulizi:
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii hususan Facebook na WhatsApp zilizoainishwa kama “Tuhuma Nzito katika Tasnia ya Sheria”. Kwa ufupi, tuhuma hizo zinadai kuwa baadhi ya Wahadhiri na Watumishi wa Taasisi hii wanafanya “biashara haramu”  ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi sambamba na ubadilishaji wa matokeo ya mitihani, hususan Somo la Mirathi (Probate,...

 

10 years ago

Vijimambo

Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

Kenya imefunga mashirika 13 na akaunti 86 za watu wanaodhaniwa kufadhili Al ShabaabWasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.

Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.

Hatua hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Madhara ya kuongeza maumbile

NAIBU Waziri wa Afya, Dk Kebwe Stephen amesema amesikia baadhi ya madhara yanayotokea kwa kutumia dawa za kuongeza maumbile, husababisha wanawake kuwa na makalio yenye ukubwa tofauti na maumbile ya wanaume huwa kama mkufu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kurefusha maumbile ya wanaume

Juma lililopita tuliona sababu za wanaume kuwa na maumbile madogo ya uume. Leo tunaendelea sehemu ya pili, tutaona dondoo za kitafiti zenye kueleza ukweli wa maumbile ya uume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaume mwenye maumbile ya ajabu

Mwanamume mmoja mwenye uume mbili, amezungumza na BBC kuhusu anavyoiishi na hali yake hio huku akihofia kujitambulisha

 

10 years ago

BBCSwahili

Madhara ya madawa ya kuongeza maumbile

Suala la baadhi ya wasichana kutumia madawa ya kubadilisha maumbile mara nyingi linazua mijadala mikali kutokana na madhara yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, kuongeza maumbile ya kiume ni salama

Ukijaribu kuwahoji wanaume walio wengi endapo wanatamani kuongeza maumbile yao ya uzazi, kwa maana ya urefu na upana, majibu mengi ni “ndiyo.”

 

10 years ago

GPL

PENZI KINYUME NA MAUMBILE LAMTESA LUNGI

Msanii wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga. Stori:Laurent Samatta
MSANII wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Lungi alisema kuwa siku chache zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake aliyemhifadhi kwa jina,...

 

11 years ago

Michuzi

MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE YACHANGIA KANSA TANZANIA: DK NGOMA

Jumanne ijayo tarehe Nne Februari mwaka 2014, ni siku ya saratani duniani. Maudhui ya mwaka huu ni vunja fikra potofu kuhusu saratani. Maadhimisho haya yanakuja wakati ripoti mpya kuhusu mwelekeo wa saratani duniani ikisema ugonjwa huo unazidi kuenea nchi maskini ambako tiba ni changamoto,. Halikadhalika mfumo wa maisha unadaiwa kuwa mojawapo ya sababu za kuenea zaidi kwa ugonjwa huo. Assumpta Massoi katika makala hii ameangaziaTanzania, moja ya nchi zinazoendelea.

(Assumpta PKG)

...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani