Obama kuzuru nchini Ethiopia
Ikulu ya white house nchini marekani imetangaza kuwa rais wa Barack Obama atakuwa rais wa kwanza wa Marekani aliye madarakani kufanya ziara nchini Ethiopia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Rais Obama afika nchini Ethiopia
Rais Barack Obama wa Marekani hatimaye amefika nchini Ethiopia katika ziara yake ya pili ya nchi za Afrika.
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Obama kuzuru Kenya Julai
Ikulu ya Whitehouse imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barrack Obama atazuru Kenya mwezi Julai taifa la babake
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/14040/production/_83748918_68502353.jpg)
US President Obama to visit Ethiopia
Barack Obama is to become the first sitting US president to visit Ethiopia, on the second leg of his third African tour, the White House says.
10 years ago
BBC27 Jul
Obama set to begin Ethiopia talks
President Obama is in Ethiopia for the second leg of his African tour and is due to hold talks with regional leaders.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Haki za binaadamu:Obama aionya Ethiopia
Rais Obama katika ziara yake ya kwanza ya rais wa Marekani nchini Ethiopia amelionya taifa hilo kwamba linahitaji kuimarisha haki zake za kibinaadamu pamoja na uongozi bora.
10 years ago
TheCitizen28 Jul
Obama challenges key ally Ethiopia on democracy
US President Barack Obama delivered a blunt appraisal of Ethiopia’s democracy deficit during a landmark visit Monday, but indicated it would not scuttle their close security and political relationship.
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
10 years ago
MichuziVIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7nuLb_0bgUA/VFHZZPvlaHI/AAAAAAAGuII/slGWpSY3IzU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Ziara ya Waziri Mwandosya nchini Ethiopia
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya amekuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Mheshimiwa Alemayehu Tegenu kuhusu maendeleo ya maji na umeme katika nchi zao
Waziri Tegenu (kulia) akiwa na Waziri Mwandosya.
Mawaziri wakisikiliza maafisa wa Ethiopia wakiwasilisha mada mbalimbali.
Picha ya pamoja baada ya kikao. Wa tatu kulia ni Ndugu Suma Mwakyusa Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Tanzania Addis Ababa, wa nne kulia ni Mheshimiwa Naima Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia,...
![](http://3.bp.blogspot.com/-7nuLb_0bgUA/VFHZZPvlaHI/AAAAAAAGuII/slGWpSY3IzU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-98U6rscPL8I/VFHZZoJONKI/AAAAAAAGuIM/xSqR_9B8gvA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_I9nbu0iCw/VFHZbDg8BXI/AAAAAAAGuIY/DcgXmQ-jL2w/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania