Obama kuzuru Kenya Julai
Ikulu ya Whitehouse imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barrack Obama atazuru Kenya mwezi Julai taifa la babake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Rais Obama kutembelea Kenya Julai
![](http://gdb.voanews.com/E782A45F-8BD8-47C4-A838-314839ECF102_w268_r1.jpg)
Rais Barack Obama akizungumza White House mjini Washington, Feb. 3, 2015.
Rais Barack Obama wa Marekani atatembelea Kenya mwezi Julai mwaka huu kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi duniani kuhusu ujasiriamali, White House imetangaza Jumatatu.Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Rais Obama kutembelea Kenya, ambako ni nyumbani kwa baba yake mzazi, tangu awe rais mwaka 2008.
Msemaji wa White House amesema shabaha ya ziara hiyo, licha ya kuhudhuria mkutano, ni pamoja na kuongeza nguvu "ukuaji uchumi,...
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Obama kuzuru nchini Ethiopia
Ikulu ya white house nchini marekani imetangaza kuwa rais wa Barack Obama atakuwa rais wa kwanza wa Marekani aliye madarakani kufanya ziara nchini Ethiopia.
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqXoRy0q2hN*kgf83cKPO*RsiSmijcTXGNLS*HzWLrcUYtMEMx4Tlu4FnBJuOrqobab13tGDKXWwa7Y6WtSku2d/KURA.png?width=650)
NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20
Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...
10 years ago
Habarileo03 Jul
BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-uhSmY06-DCA/VbKONpExv2I/AAAAAAAACzY/mA9kdZZ3wqM/s72-c/la-me-ln-obama-to-visit-los-angeles-for-jimmy-001.jpg)
PHOTOS: HOW OBAMA TOUCHED DOWN IN KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uhSmY06-DCA/VbKONpExv2I/AAAAAAAACzY/mA9kdZZ3wqM/s640/la-me-ln-obama-to-visit-los-angeles-for-jimmy-001.jpg)
On July 24 2015 The President of United States of America Barack Obama touched down in Kenya at Jomo Kenyatta International Airport, each and every moment was aired live in K24 Tv.
Below are some of the pictures of what happened at the airport.
![](http://1.bp.blogspot.com/-koe88D1mRAQ/VbKPfK9yq9I/AAAAAAAACzk/2h_xFO-EAgA/s640/0fgjhs68qbi2fm9lv.r800x600.b11102c5.jpg)
![IMG_2556](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2556.jpg?resize=471%2C353)
![IMG_2551](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2551.jpg?resize=487%2C365)
![IMG_2554](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2554.jpg?resize=484%2C363)
![IMG_2560](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2560.jpg?resize=475%2C356)
![IMG_2568](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2568.jpg?resize=461%2C346)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oPWGhHu2OBs/VbKPfZz0SCI/AAAAAAAACzo/nAEEjzrlWqY/s640/obama-kenya11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8utwrtOwa1E/VbKPztLoioI/AAAAAAAACz8/xLGhSrVlNl8/s640/_84479242_607720e9-599f-4f69-865f-23599cc1838f.jpg)
![IMG_2569](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2569.jpg?resize=466%2C349)
![IMG_2575](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2575.jpg?resize=476%2C357)
![IMG_2581](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2581.jpg?resize=471%2C353)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IH_OdBUrlhg/VbKPfiBUg7I/AAAAAAAACzs/d3vVps84Sok/s640/obama-kenya.jpg)
![IMG_2589](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2589.jpg?resize=472%2C354)
![IMG_2590](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2590.jpg?resize=467%2C350)
![IMG_2598](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2598.jpg?resize=468%2C351)
![IMG_2600](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2600.jpg?resize=483%2C362)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm05Rw78Goc/VbKQM9L701I/AAAAAAAAC0E/eP8df2sDUgY/s640/_84479363_47ee20fe-063d-43eb-bde0-c92cd11f9b1d.jpg)
![IMG_2630](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2630.jpg?resize=470%2C352)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2vpUU0qegQc/VbKM8NEE7jI/AAAAAAAACzM/n3xheweogAg/s640/628x471.jpg)
![IMG_2638](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2638.jpg?resize=468%2C351)
![IMG_2645](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2645.jpg?resize=458%2C344)
![IMG_2651](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_2651.jpg?resize=455%2C341)
10 years ago
Mwananchi25 Jul
Kishindo cha Obama Kenya
>Shangwe na shamrashamra zimeendelea kutawala mjini Nairobi kufuatia kuwasili kwa Rais wa Marekani Barack Obama aliyewasili jana akiwa ameambatana na ujumbe mzito.
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/16A73/production/_84478729_breaking_image_large-3.png)
President Obama arrives in Kenya
Barack Obama arrives in Kenya on the first visit to his ancestral home as serving US president.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania