Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama kuzuru Kenya Julai

Ikulu ya Whitehouse imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barrack Obama atazuru Kenya mwezi Julai taifa la babake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Rais Obama kutembelea Kenya Julai


Rais Barack Obama akizungumza White House mjini Washington, Feb. 3, 2015.
Rais Barack Obama wa Marekani atatembelea Kenya mwezi Julai mwaka huu kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi duniani kuhusu ujasiriamali, White House imetangaza Jumatatu.Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Rais Obama kutembelea Kenya, ambako ni nyumbani kwa baba yake mzazi, tangu awe rais mwaka 2008.
Msemaji wa White House amesema shabaha ya ziara hiyo, licha ya kuhudhuria mkutano, ni pamoja na kuongeza nguvu "ukuaji uchumi,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuzuru nchini Ethiopia

Ikulu ya white house nchini marekani imetangaza kuwa rais wa Barack Obama atakuwa rais wa kwanza wa Marekani aliye madarakani kufanya ziara nchini Ethiopia.

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

GPL

NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20

Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama awasili Kenya

Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi

 

10 years ago

Africanjam.Com

PHOTOS: HOW OBAMA TOUCHED DOWN IN KENYA



On July 24 2015 The President of United States of America Barack Obama touched down in Kenya at Jomo Kenyatta International Airport, each and every moment was aired live in K24 Tv.
Below are some of the pictures of what happened at the airport.

IMG_2556

IMG_2551IMG_2554IMG_2560IMG_2568



IMG_2569
IMG_2575IMG_2581

IMG_2589IMG_2590IMG_2598IMG_2600IMG_2630

IMG_2638IMG_2645IMG_2651 Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from...

 

10 years ago

Mwananchi

Kishindo cha Obama Kenya

>Shangwe na shamrashamra zimeendelea kutawala mjini Nairobi kufuatia kuwasili kwa Rais wa Marekani Barack Obama aliyewasili jana akiwa ameambatana na ujumbe mzito.

 

10 years ago

BBC

President Obama arrives in Kenya

Barack Obama arrives in Kenya on the first visit to his ancestral home as serving US president.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani