Rais Obama kutembelea Kenya Julai
Rais Barack Obama akizungumza White House mjini Washington, Feb. 3, 2015.
Rais Barack Obama wa Marekani atatembelea Kenya mwezi Julai mwaka huu kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi duniani kuhusu ujasiriamali, White House imetangaza Jumatatu.Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Rais Obama kutembelea Kenya, ambako ni nyumbani kwa baba yake mzazi, tangu awe rais mwaka 2008.
Msemaji wa White House amesema shabaha ya ziara hiyo, licha ya kuhudhuria mkutano, ni pamoja na kuongeza nguvu "ukuaji uchumi,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Obama kuzuru Kenya Julai
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AhdUv6p-CNU/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jul
10 years ago
BBCSwahili26 Jul
ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA YAKAMILIKA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s72-c/Obama-flight-610x374.jpg)
RAIS OBAMA AWASILI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s640/Obama-flight-610x374.jpg)
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku. Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-k-zeETXiuk8/VbKEAw-XWfI/AAAAAAABSnI/wtn4tVZwT18/s640/PC_150724_ko5sb_obama-kenya-arrivee_sn635.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI KENYA
10 years ago
Vijimambo24 Jul