Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kishindo cha Obama Kenya

>Shangwe na shamrashamra zimeendelea kutawala mjini Nairobi kufuatia kuwasili kwa Rais wa Marekani Barack Obama aliyewasili jana akiwa ameambatana na ujumbe mzito.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kishindo cha Papa Francis Kenya

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis aliyetua Nairobi jana saa 10:45 jioni, leo ‘atajichanganya’ katika moja ya majukumu muhimu wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchini Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kutozuru kijiji cha babaake Kenya

#ObamainKenya ndilo neno linalotawala mitandao ya kijamii nchini Kenya huku rais huyo akitarajiwa kulitembelea taifa hilo.

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

Habarileo

Kenyatta arejea Kenya kwa kishindo

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amerejea nchini kwake akitokea The Hague, Uholanzi alikoenda kuhudhuria kesi dhidi yake katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jina (ICC), huku akipokewa nchini humo kwa shangwe na vigelegele.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama awasili Kenya

Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi

 

10 years ago

BBC

Obama’s trip to Kenya: 12 things

And 11 other things Obama revealed in Kenya

 

10 years ago

BBC

President Obama arrives in Kenya

Barack Obama arrives in Kenya on the first visit to his ancestral home as serving US president.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuzuru Kenya Julai

Ikulu ya Whitehouse imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barrack Obama atazuru Kenya mwezi Julai taifa la babake

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA


Video kwa hisani ya VOA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani