Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama awasili Kenya

Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA AWASILI NCHINI KENYA

 Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku. Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta. mwendo wa saa mbili na robo rais Obama alitua ndege yake. Alipowasili alizungumza kwa muda mfupi na mwenyeji wake rais Kenyatta na kisha kutia saini kitabu cha wageni kabla ya kuondoka. Obama sasa ameandikisha historia ya kuwa rais wa kwanza wa...

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa awasili Marekani apokewa na Obama

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewasili nchini Marekani katika siku ya kwanza ya ziara ya kihistoria nchini humo ambapo amelakiwa na Rais wa nchi hiyo Barack Obama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama awasili Korea Kusini kushauriana

Rais Obama amewasili Korea Kusini huku hofu ikizagaa kwamba Korea Kaskazini yajiandaa jaribio la nne la zana zake za nukyla.

 

9 years ago

Vijimambo

PAPA FRANCIS AWASILI WASHINGTON, DC ALAKIWA NA MWENYEJI WAKE RAIS BARACK OBAMA

Rais Barack Obama na familia yake wakielekea uwanjani kwenda kumlaki Papa Francis aliyewasili siku ya Jumanne Septemba 22, 2015 nchini Marekani kwa ziara ya siku nne.Papa Francis na ujumbe wake wakishuka kutoka kwenye ndege iliyomleta Washington, DC uwanja wa ndege wa jeshi wa AFB kwa ziara ya siku nne nchini Marekani.Papa Francis akilakiwa na mwenyeji wake Rais Barack Obama mara tu alipokanyaga ardhi ya Marekani.Papa Francis akisalimiana na Michelle Obama mke wa Rais wa Marekani Mhe. Barack...

 

9 years ago

Habarileo

Papa Francis awasili Kenya kuanza ziara

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewasili nchini Kenya jana jioni kuanza ziara ya kihistoria ya siku sita barani Afrika. Akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini hapa, alipokewa na mwenyeji wake, Rais Uhuru Kenyatta aliyefuatana na mkewe Margaret pamoja na Naibu Rais, William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa Katoliki nchini humo.

 

10 years ago

BBC

Kenya to close airspace for Obama

Kenya will close its airspace ahead of President Barack Obama's arrival on Friday and ban small planes during the three-day visit.

 

10 years ago

BBC

President Obama arrives in Kenya

Barack Obama arrives in Kenya on the first visit to his ancestral home as serving US president.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PHOTOS: HOW OBAMA TOUCHED DOWN IN KENYA



On July 24 2015 The President of United States of America Barack Obama touched down in Kenya at Jomo Kenyatta International Airport, each and every moment was aired live in K24 Tv.
Below are some of the pictures of what happened at the airport.

IMG_2556

IMG_2551IMG_2554IMG_2560IMG_2568



IMG_2569
IMG_2575IMG_2581

IMG_2589IMG_2590IMG_2598IMG_2600IMG_2630

IMG_2638IMG_2645IMG_2651 Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani