Odama: Naogopa msaada wa masharti
Na Rhobi Chacha
MWIGIZAJI mwenye mvuto katika filamu za Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’, amesema anaogopa marafiki wa kiume kwa kuwa huwa na masharti magumu pindi wanapotoa msaada.
“Wasanii wa kiume kwangu sipendi kwa kuwa huwa na masharti kuliko marafiki wa kike ambao husaidia bila masharti ya ajabu,” alisema.
Aliongeza kwamba, marafiki wa kike anakuwa huru kuwaeleza shida na matatizo yake kuliko wa kiume ndiyo maana hiyo ni sababu yake nyingine ya kutopenda marafiki wa kiume kama anavyopenda...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlalUisoKYRSl2NeH6DPvJRJKctjF1-r-uPVBKbMA9wDXRBSKB2j3FBJdMvR5rCcYnAeq14rL3cIu*nbbm2G5*W/wolper.jpg?width=650)
WOLPER:NAOGOPA KUZAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3fw*3wEJCUSvsWGn3-5F5zmaBKqbw5FjSqjyvMSnbcaTYRCdgGY64yRoC-2s66NHQyV6yVlHhw1n80aQ-2L4n3o/naogopa.jpg?width=550)
NAOGOPA - DANNY PAS FT MR BLUE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSAWHxohslGdDOfdskTB1sKMFueS5LomF69ziePzlb2vezAFB4vkMxtacqF2tBJm3O7KY49ftfkLbRz8dJstGck/masogange.jpg?width=650)
MASOGANGE: NAOGOPA MUME WA MTU
9 years ago
Bongo517 Oct
Naogopa mwanangu asishuke kimuziki — Mama Diamond
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNYunJg0zFgOAAs68UgEMKhGa9VgzYtB1spjXuZAn5ZEovOEAVkbyC0lgP-3J4XapXF6qN9r29GdlSzxwMJST-G/MeninahTimesFmleo_full.jpg?width=650)
MENINAH: NAOGOPA MAPENZI YATAVURUGA MUZIKI WANGU
11 years ago
Dewji Blog14 May
AUDIO: New Single by Gosby Feat. Ommy Dimpoz — Naogopa
The single is titled ‘Naogopa’ and features Ommy Dimpoz. The track was produced by Nahreel, additional instrumentals by Erasto Machine, mixed and mastered by Marco Chali.
9 years ago
Bongo527 Aug
Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao
9 years ago
Bongo527 Nov
Diamond: Sitaki kabisa kushika simu ya Zari naogopa kuumia!
![Diamonnd n Zari-phone](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Diamonnd-n-Zari-phone-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Zari ni watu ambao huwa hawapendi
kupekuliana simu simu zao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kusababishwa na simu za mikononi.
Simu za mikononi huwa ni moja ya chanzo cha ugomvi kwa wapenzi wengi, na tumekuwa tukisikia story za couple nyingi kuingia kwenye matatizo kutokana tu na mmoja kukuta ujumbe au picha zenye utata kwenye simu ya mwenzie hata kama haimaanishi kuwa anamsaliti.
Diamond na Zari wote ni watu maarufu ambao wana...