Diamond: Sitaki kabisa kushika simu ya Zari naogopa kuumia!
Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Zari ni watu ambao huwa hawapendi
kupekuliana simu simu zao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kusababishwa na simu za mikononi.
Simu za mikononi huwa ni moja ya chanzo cha ugomvi kwa wapenzi wengi, na tumekuwa tukisikia story za couple nyingi kuingia kwenye matatizo kutokana tu na mmoja kukuta ujumbe au picha zenye utata kwenye simu ya mwenzie hata kama haimaanishi kuwa anamsaliti.
Diamond na Zari wote ni watu maarufu ambao wana...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Jan
SOMO LA KONDOM JAMAA KA FALL KABISA HATIMAYE DIAMOND AMPA UJAUZITO ZARI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-r8c85VMVthI/VOq6zEqkrsI/AAAAAAAAG5U/6exRrwF8f4g/s72-c/Maneno%2Bya%2BZari%2BHassan%2Bkwa%2Bpicha%2Binayo%2Bmuonyesha%2BDiamond%2Bakichungulia%2Banacho%2Bkifanya%2Bkwenye%2Bsimu.jpg)
Maneno ya Zari Hassan kwa picha inayo muonyesha Diamond Platnumz akichungulia anacho kifanya kwenye simu
![](http://3.bp.blogspot.com/-r8c85VMVthI/VOq6zEqkrsI/AAAAAAAAG5U/6exRrwF8f4g/s1600/Maneno%2Bya%2BZari%2BHassan%2Bkwa%2Bpicha%2Binayo%2Bmuonyesha%2BDiamond%2Bakichungulia%2Banacho%2Bkifanya%2Bkwenye%2Bsimu.jpg)
9 years ago
Bongo517 Oct
Naogopa mwanangu asishuke kimuziki — Mama Diamond
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXoZvjWZMNHExEDssj7cqrMSdx40j6fRDm7MEQrDYmjKC3XFMdfpS*95DtCY1Yt14YraSsoWy*Zm9tlkfbs8aPjX/DAYNA.jpg?width=650)
DAYNA: SITAKI MALUMBANO NA DIAMOND
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yL8HtAgalmLKyrCERuZ-0vwRqFyEFsqyKjUIw3QbqNJoc0p2O1iBGpLh33kHYIS*mq7gdGFpUk1V43vum6pKhGW/penny.jpg)
PENNY: SITAKI KUMSIKIA DIAMOND
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
VIDEO: Tazama ubora wa simu ya Huawei Y360 ambayo gharama yake ni nafuu kabisa
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live… Acha Kabisa!
Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo
Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.
Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.
Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.
Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.
Diamond akiwachombeza mashabiki.
Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume.
Akiongea na mashabiki.
Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.
Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake...