DAYNA: SITAKI MALUMBANO NA DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXoZvjWZMNHExEDssj7cqrMSdx40j6fRDm7MEQrDYmjKC3XFMdfpS*95DtCY1Yt14YraSsoWy*Zm9tlkfbs8aPjX/DAYNA.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya MWANADADA anayetamba na kibao cha Mimi na Wewe, Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’ amefunguka kuwa hataki kabisa kumzungumzia msanii mwenzake, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’. Dayna aliyasema hayo hivi karibuni alipoulizwa kuhusiana na bifu lake na Diamond lililotokana na kumwibia wimbo wake ambapo alisema hataki kumzungumzia kabisa Diamond kwa sababu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUlfWFUFFlkMZQGCa*aBoVPTYf*NTyUb7PT3vdfZeIUCpJrI8425HH6r2aqUe09D0764I5OC5pbQoz9mxwmDwTxb/c.jpg)
DAYNA: SINA MPANGO WA KOLABO NA DIAMOND
9 years ago
Bongo522 Oct
Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yL8HtAgalmLKyrCERuZ-0vwRqFyEFsqyKjUIw3QbqNJoc0p2O1iBGpLh33kHYIS*mq7gdGFpUk1V43vum6pKhGW/penny.jpg)
PENNY: SITAKI KUMSIKIA DIAMOND
9 years ago
Bongo527 Nov
Diamond: Sitaki kabisa kushika simu ya Zari naogopa kuumia!
![Diamonnd n Zari-phone](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Diamonnd-n-Zari-phone-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Zari ni watu ambao huwa hawapendi
kupekuliana simu simu zao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kusababishwa na simu za mikononi.
Simu za mikononi huwa ni moja ya chanzo cha ugomvi kwa wapenzi wengi, na tumekuwa tukisikia story za couple nyingi kuingia kwenye matatizo kutokana tu na mmoja kukuta ujumbe au picha zenye utata kwenye simu ya mwenzie hata kama haimaanishi kuwa anamsaliti.
Diamond na Zari wote ni watu maarufu ambao wana...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Malumbano ya EALA hayana mashiko
WIKI iliyopita ulijitokeza mvutano mkubwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) na kukwamisha shughuli za Bunge hilo baada ya baadhi ya wabunge kugoma, wakitaka kwanza Mbunge kutoka Tanzania, Shyrose...
11 years ago
Habarileo12 Mar
‘Viongozi wa vyama acheni malumbano’
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha malumbano ndani ya vyama vyao hali inayoathiri jamii hususani taasisi za dini. Hayo yalisemwa jana na Kiongozi wa baraza la mashehe wilaya ya Arumeru, Haruna Husein wakati akizungumza katika kongamano la kuchangia fedha kwa ajili ya Radio Umoja FM lililofanyika mjini hapa.
10 years ago
Habarileo25 Feb
Warioba: Malumbano kura ya maoni hayafai
WAZIRI Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba amevitaka vyama vya siasa kuzingatia matakwa ya wananchi katika suala zima la Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa na badala ya kuwagawa.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Malumbano haya Mchakato wa Katiba hayatusaidii
9 years ago
Habarileo05 Dec
Malumbano ya kisheria yatawala kesi ya Mwale
MALUMBANO ya kisheria yameibuka jana baina ya mawakili upande wa Serikali na utetezi katika kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili washtakiwa wanne akiwemo wakili maarufu wa jijini Arusha, Median Mwale hali iliyosababisha Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kuendesha kesi ndani ya kesi.