Oman yaikabidhi SMZ bil. 12.3/-
SERIKALI ya Oman imeikabidhi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) hundi ya Sh bil 12.3 kwa ajili ya kiwanda cha uchapishaji, pamoja na nyaraka za magari 10 ya msaada, yaliyotolewa yatumiwe na viongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Apr
SMZ yafurahia uhusiano wake na Oman
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesifu uhusiano uliopo kati ya Zanzibar na Oman ambao umesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya Elimu, ikiwemo Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA) kupiga hatua kubwa katika taaluma ya elimu kwa wanafunzi.
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Habarileo05 Jul
UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu
TANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).
Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...
11 years ago
Habarileo27 Mar
TLTC yaikabidhi hospitali ya Moro mashine ya ultra sound
KAMPUNI ya Tumbaku nchini (TLTC) imekabidhi hospitali ya mkoa wa Morogoro mashine ya kisasa ya ultra sound yenye thamani ya Sh milioni 65.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jTcereGxV8U/U5s9_zCIyTI/AAAAAAAFqXs/SzYvTDtdoVQ/s72-c/01.jpg)
TIPER YAIKABIDHI SERIKALI GAWIO LA SHILINGI 1,275,000.00
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTcereGxV8U/U5s9_zCIyTI/AAAAAAAFqXs/SzYvTDtdoVQ/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BvQoEMo2ABs/U5s9_5sSpmI/AAAAAAAFqX4/Ak4LPI3lNVM/s1600/02.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-2uBxgoakQKY%2FVRU48qrNOJI%2FAAAAAAAAcI4%2FnEADakrZ5Qg%2Fs1600%2Fmalawi2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-FNJ9q3OwvjM%2FVRU5ABZazJI%2FAAAAAAAAcJA%2FLJqh-RH3yjQ%2Fs1600%2Fmalawi5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Save the Children yaikabidhi pikipiki tano Wizara ya Afya Zanzibar
Mwakilishi wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children) Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo
kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono wa wilaya katika hafla iliyofanyika wizara ya Afya mnazimmoja mjini Zanzibar. (picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar).
Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitia saini baada ya kupokea
pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi wakuu wa vitengo vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0Myg_0PaCwA/XsUr007MujI/AAAAAAALq-E/99OZ3lXgChwa4esf5XsSvkfzSy6wN7mAACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1.jpg)
Benki ya CRDB yaikabidhi BAKWATA milioni 10 kusaidia mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Myg_0PaCwA/XsUr007MujI/AAAAAAALq-E/99OZ3lXgChwa4esf5XsSvkfzSy6wN7mAACLcBGAsYHQ/s640/aa1.jpg)
== === ==
Benki ya CRDB imekabidhi mchango wa shilingi...