Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oman yaikabidhi SMZ bil. 12.3/-

SERIKALI ya Oman imeikabidhi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) hundi ya Sh bil 12.3 kwa ajili ya kiwanda cha uchapishaji, pamoja na nyaraka za magari 10 ya msaada, yaliyotolewa yatumiwe na viongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

SMZ yafurahia uhusiano wake na Oman

Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesifu uhusiano uliopo kati ya Zanzibar na Oman ambao umesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya Elimu, ikiwemo Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA) kupiga hatua kubwa katika taaluma ya elimu kwa wanafunzi.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

11 years ago

Habarileo

UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu

Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Julius NinguTANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1

DIGITAL CAMERA

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).

Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...

 

11 years ago

Habarileo

TLTC yaikabidhi hospitali ya Moro mashine ya ultra sound

KAMPUNI ya Tumbaku nchini (TLTC) imekabidhi hospitali ya mkoa wa Morogoro mashine ya kisasa ya ultra sound yenye thamani ya Sh milioni 65.

 

11 years ago

Michuzi

TIPER YAIKABIDHI SERIKALI GAWIO LA SHILINGI 1,275,000.00

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia). Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair (kushoto)...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO

Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe. Patrick Luciano Tsere (kulia) akikabidhi Dawa za Binadamu na Mahindi kwa Bw. Paul Chiunguzeni, Katibu Mkuu na pia Kamishna anayeshughulikia masuala ya Maafa aktika Ofisi ya Makamu wa Rais wa Malawi ikiwa ni sehemu ya msaada wa Tani 1,200 za Mahindi na Dawa za Binadamu zilizotolewa na Serikali ya Tanzania kwa nchi hiyo kufuatia mafuriko makubwa yaliyoikumba nchi hiyo mwezi Januari 2015. manajdhdfdufdhuf Bw. Paul Chiunguzeni, Katibu Mkuu na pia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Save the Children yaikabidhi pikipiki tano Wizara ya Afya Zanzibar

2 (1)Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo
kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla  iliyofanyika  wizara ya Afya  mnazimmoja  mjini Zanzibar. (picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar).

3 (1) Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit  Kombo akitia saini  baada ya kupokea
pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi  wakuu wa vitengo vya...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya CRDB yaikabidhi BAKWATA milioni 10 kusaidia mapambano dhidi ya Corona

Meneja Mwandamizi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), Nuhu Jabir Mruma, mfano wa hundi yenye thamani wa Sh. Milioni 10, zitakazoenda kusaidia kununua vifaa vya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Korona katika maeneo ya ibada nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika leo Mei 20, 2020 kwenye makao makuu ya Benki hiyo, jijini Dar es salaam.
==     ===   ==
Benki ya CRDB imekabidhi mchango wa shilingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani