Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yafurahia uhusiano wake na Oman

Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesifu uhusiano uliopo kati ya Zanzibar na Oman ambao umesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya Elimu, ikiwemo Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA) kupiga hatua kubwa katika taaluma ya elimu kwa wanafunzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Oman yaikabidhi SMZ bil. 12.3/-

SERIKALI ya Oman imeikabidhi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) hundi ya Sh bil 12.3 kwa ajili ya kiwanda cha uchapishaji, pamoja na nyaraka za magari 10 ya msaada, yaliyotolewa yatumiwe na viongozi.

 

10 years ago

GPL

ZITTO AANIKA UHUSIANO WAKE NA DIVA

Stori: Erick Evarist KWA mara ya kwanza Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe ameibuka na kuzungumzia uhusiano wake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’ na kufuta uvumi mzito uliokuwa ukizagaa kuwa wawili hao ni wapenzi. Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi ‘Diva’. Zitto alifunguka hayo juzi kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na Televesheni ya East Africa ambapo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar

10494817_372473116244006_3617867818539775125_n

Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.

Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa  tarehe 10/10/2014  watakuwepo Thai Village pamoja na...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR‏

Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman. Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA DUDE

Tunamalizia makala haya tuliyoyaanza wiki iliyopita. Flora amefunguka mengi yahusuyo safari yake ya kisanaa!
ENDELEA… UHUSIANO NA DUDE
Mwandishi: Kuna tetesi kwamba ulikuwa na uhusiano na Dude na alitaka akuoe?
Flora: Dude namheshimu sana na mara nyingi alikuwa ananipenda kwa sababu nilikuwa mtiifu sana kwake naona ndiyo sababu ya watu kuzungumza maneno hayo. Sikuwahi kufikiria kuolewa na Dude au kuwa na uhusiano...

 

10 years ago

GPL

MILL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA NICKI MINAJ

Rapa, Meek Mill. Los Angles, Marekani
MPENZI wa rapa wa kike, Nicki Minaj, Meek Mill ameibuka na kusema uhusiano wao upo makini sana. Minaj kabla ya kuwa na Mill alikuwa akitoka na Safaree Samuels aliyedumu naye miaka 12 kabla ya kuachana mwaka jana. Meek Mill akiwa na mpenzi wake Nicki Minaj. Mill, 28, ambaye naye ni rapa tayari amemvalisha pete ya dhahabu ya uchumba yenye umbo la ‘moyo’ ‘hitmaker’...

 

10 years ago

GPL

KADJA NITO AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE KIMAPENZI

Mtangazaji wa Kipindi cha Me & U with love, Shorvien Mohamed (kushoto) akifanya mahojiano na msanii Khadja Nito,  katika Studio za Global TV Online. Khadja akifafanua kwa upana moja ya swali aliloulizwa kwenye interview hiyo.. ... akifurahia jambo muda mfupi baada ya kuhitimisha mahojiano na Global TV…

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAISHAURI ICC KUBORESHA UHUSIANO WAKE NA AFRIKA

Balozi Irene Kasyanju, Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, akizungumza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC). Mkutano huo wa wiki mbili unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.Sehemu ya wajumbe wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai wakimsikiliza Mwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani