OMCTP ni neema kwa waombaji leseni za madini nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-dhNI7b7sG0A/Vc1-cUZDozI/AAAAAAAHwf4/DTXMeKkdtAU/s72-c/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
Na Mohamed Saif
Imeelezwa kwamba huduma ya leseni za madini kwa njia ya mtandao itampunguzia gharama na adha za usafiri mmiliki wa leseni za madini kwa kumuwezesha kulipia ada za leseni yake pale alipo.
Hayo yameelezwa hivi karibuni na Afisa Madini Mkazi-Njombe, Samwel Ayubu alipokuwa akifungua mafunzo ya matumizi kuhusu huduma za leseni kwa njia ya mtandao yaani Online Mining Cadastre Portal (OMCTP) kwa wachimbaji wa madini mkoani Njombe.
Ayubu alisema kupitia mfumo wa zamani,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Zbu1Bk47tPI/UuuYx3sTWdI/AAAAAAAFJ6Q/PRL8c5f-kl8/s72-c/New+Picture.bmp)
TANGAZO KWA WAOMBAJI WA LESENI ZA UTAFUTAJI WA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zbu1Bk47tPI/UuuYx3sTWdI/AAAAAAAFJ6Q/PRL8c5f-kl8/s1600/New+Picture.bmp)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5wRvyrdzpoU/VAYMHj_cuuI/AAAAAAAGb5Y/-LW7GMrLzSE/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Wamiliki, Waombaji leseni za madini watakiwa kufuata Taratibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-5wRvyrdzpoU/VAYMHj_cuuI/AAAAAAAGb5Y/-LW7GMrLzSE/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KUfVbYWZygY/VAYMH-q9ICI/AAAAAAAGb5w/PG-6Xu4cAK8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
10 years ago
Michuzi30 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Habarileo20 Jul
Madini wakabidhi leseni kwa wachimbaji wadogo
SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati na Madini imekabidhi leseni mbili zenye namba 1268 na 1269 kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kijiji cha Ishokelahela, wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Leseni za madini sasa kulipiwa kwa mtandao
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...
10 years ago
MichuziWIZARA YA NISHATI NA MADINI YAZINDUA HUDUMA ZA LESENI KWA NJIA YA MTANDAO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10