Wamiliki, Waombaji leseni za madini watakiwa kufuata Taratibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-5wRvyrdzpoU/VAYMHj_cuuI/AAAAAAAGb5Y/-LW7GMrLzSE/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akisaini moja ya leseni za uchimbaji madini kwa wamiliki waliokidhi vigezo vya kuapatiwa leseni. Anayeangalia ni Mwanasheria Wizara ya Nishati na MadinI Phines Sijaona.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akimsikiliza mmoja wa waombaji wa Leseni za uchimbaji madini, Mark Stanely mmiliki wa kampuni ya Bafex Tanzania Limited (Kanda ya Kusini Magharibi) wakati wa kikao cha kusaini leseni za uchimbaji madini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Zbu1Bk47tPI/UuuYx3sTWdI/AAAAAAAFJ6Q/PRL8c5f-kl8/s72-c/New+Picture.bmp)
TANGAZO KWA WAOMBAJI WA LESENI ZA UTAFUTAJI WA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zbu1Bk47tPI/UuuYx3sTWdI/AAAAAAAFJ6Q/PRL8c5f-kl8/s1600/New+Picture.bmp)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dhNI7b7sG0A/Vc1-cUZDozI/AAAAAAAHwf4/DTXMeKkdtAU/s72-c/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
OMCTP ni neema kwa waombaji leseni za madini nchini
Imeelezwa kwamba huduma ya leseni za madini kwa njia ya mtandao itampunguzia gharama na adha za usafiri mmiliki wa leseni za madini kwa kumuwezesha kulipia ada za leseni yake pale alipo.
Hayo yameelezwa hivi karibuni na Afisa Madini Mkazi-Njombe, Samwel Ayubu alipokuwa akifungua mafunzo ya matumizi kuhusu huduma za leseni kwa njia ya mtandao yaani Online Mining Cadastre Portal (OMCTP) kwa wachimbaji wa madini mkoani Njombe.
Ayubu alisema kupitia mfumo wa zamani,...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...
10 years ago
Habarileo26 Feb
DC Missenyi aahidi kufuata sheria, taratibu
MKUU mpya wa Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, Fadhir Nkurlu amewaahidi wananchi wa wilaya hiyo na uongozi wa mkoa huo kufanya kazi kwa misingi ya sheria na taratibu za nchi pasipo kumuonea mtu.
10 years ago
Habarileo05 Jan
Ridhiwani ataka wawekezaji kufuata sheria na taratibu
WAWEKEZAJI kwenye kijiji cha Changarikwa wametakiwa kufuata taratibu za kisheria ili kuondoa migogoro baina yao na wananchi.
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Serikali yaweka taratibu za kuzingatia ili kuhakikisha kunakuwa na wamiliki halali wa laini za simu
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Mwanadamu ameumbwa na kuzaliwa akiwa na asili ya kuwa na uwezo na upeo unaomuwezesha kuwasiliana baina ya mtu na mtu kunzia ngazi ya familia, jamii inayomzunguka, taifa na hatimaye ulimwengu mzima.
Akiwa na mamlaka ya kutumia mawasiliano katika maisha yake ya kila siku, mwanadamu anayatumia mawasiliano hayo kama mchakato wa kuhamisha na kupashana taarifa ama habari kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa nyakati tofauti tofauti.
Mchakato huo wa mawasiliano unaweza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
TCRA Kanda ya Mashariki:Wamiliki wa Radio kufuata Sheria,Kanuni pamoja miongozo
![](https://1.bp.blogspot.com/-U7ojQVzi7hc/Xs-Dduoa-SI/AAAAAAALr08/TCUdIPgMuHIqb8gEClZwAnzDJ8_W7cMqgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.39.24%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0sHLCqC0As/Xs-DsJ02-sI/AAAAAAALr1A/So0br9VAbxs91tDJBUesksjp0_GYfAojgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-28%2Bat%2B11.51.53%2BAM.jpeg)