Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


One Billion Rising - TUAMKE DAR

 Kutakuwa na muziki na kucheza, hivyo tunawaalika Wanaharakati, waandishi, wanafalsafa, watu mashuhuri, wanawake na wanaume kuja kujumuika nasi na kuamka na kuinuka pamoja kukemea ukatili dhidi ya wanawake. Kupata maelekezo zaidi, tembelea Facebook Page kwenye hii link - https://www.facebook.com/events/411029942393387/

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kampeni ya One Billion Rising kufanyika Feb 14 Coco Beach

Tarehe 14, Februari, 2015, saa 8 mchana, Dar es Salaam itajiunga na wanaharakati duniani kote pale Coco Beach Masaki jijini Dar es Salaam kwa ajili ya One Billion Rising – harakati za wahamasishaji kimataifa kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. One Billion Rising ilianza kama wito wa kuchukua hatua kutokana na takwimu ya kushtua […]

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa

>Kwa ukimya huu, inawezekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania haina taarifa za kuibuka na kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa hatari wa ebola, ambao tayari umeua zaidi ya watu 518 na kuambukiza wengine 759 katika nchi kadhaa barani Afrika.

 

10 years ago

GPL

KINONDONI, ILALAMABINGWA U-17 AIRTEL RISING STARS DAR

Nahodha wa timu ya wasichana ya Kinondoni,Sylvia Mwacha (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam,Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Dar es Salaam upande wa wasichana jana. Nahodha wa timu ya Wavulana ya Ilala,Abdul Hassan (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel Rising Stars 2014 yazinduliwa Dar

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, jana imezindua rasmi msimu wa nne wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS), yanayotarajiwa...

 

10 years ago

Michuzi

WASHINDI AIRTEL RISING STARS DAR WATUNUKIA

 Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodhawa timu ya Harmburg Queens Jamila Kassim baada ya kuwa mabingwa katikamichuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Starsmkoa wa kisoka wa Ilala. Hafla ya kukabidhi kombe ilifanyika janakatika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume Jijini Dar-es-Salaam.  Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodha wa timu ya Evergreen Linda Shilla baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya...

 

10 years ago

GPL

WASHINDI AIRTEL RISING STARS DAR WATUNUKIA‏

Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodha wa timu ya Harmburg Queens Jamila Kassim baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars mkoa wa kisoka wa Ilala. Hafla ya kukabidhi kombe ilifanyika jana katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume Jijini Dar-es-Salaam.…

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA RASMI DAR

Wachezaji wa timu ya Ilala (wenye jezi nyekundu) wakiwa uwanjani wenye jezi nyeupe ni timu ya Buguruni Youth Center ‘’BYC’’. Mashabiki wakifuatilia mechi kati ya timu ya Buguruni Youth Center na Ilala.…

 

11 years ago

TheCitizen

Dar gets Sh40 billion boost

Water and agriculture sectors yesterday received a fresh boost following the signing of a new bilateral development cooperation programme between the government and the Kingdom of Belgium.

 

11 years ago

Michuzi

Washiriki wa kliniki ya Airtel Rising Stars kutua Dar Jumatatu

 Airtel Public Relations Manager Jackson Mbando speaks to the media at a press conference to announce the forthcoming Manchester United International Soccer Clinic to be held in Dar es Salaam from 23rd-27th April under the tutelage of coaches from Manchester United Soccer Schools.  He is flanked by the Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi .The event was held at the Airtel Tanzania Headquarters, 18th April 2014.   Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani