Ophir Energy yakabidhi mradi Lilungu
KAMPUNI ya Ophir Energy imekamilisha mradi wa maendeleo ya jamii wenye thamani ya zaidi ya sh milioni 600 katika Shule ya Msingi Lilungu Wilaya ya Mtwara-Mikindani, mkoani Mtwara. Hafla ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA PAN AFRICAN ENERGY YAKABIDHI JENGO LA WAUGUZI KATIKA ZAHANATI YA NANGURUKURU WILAYANI KILWA
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
TBL yakabidhi mradi wa maji
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imekabidhi kisima cha maji chenye thamani ya Sh. milioni 69 kwa wakazi wa kata za Yombo Vituka na Mwembe Ladu, Manispaa ya Temeke.
Akizungumza baada ya kuzindua na kukabidhi kisima hicho kwa uongozi wa Serikali ya Mtaa, Ofisa Uhusiano wa TBL, Doris Malulu, alisema mradi huo ni sehemu ya kusaidia jamii kuondokana na kero ya majisafi na salama.
Alisema TBL kupitia kaulimbiu ya 'bila maji hakuna uhai,’ imelenga kuhakikisha jamii inaondokana na kero ya...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
SBL yakabidhi mradi wa maji
MRADI wa maji ujulikanao kama ‘Water for life’ wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), umechangia Sera ya Taifa inayoeleza kuwa kila mwananchi anatakiwa apate maji safi na salama kwa...
10 years ago
Michuzi12 Jun
TTCL Yakabidhi Mradi wa Huduma za Mawasiliano TBL


9 years ago
MichuziLAFARGE TANZANIA YAKABIDHI MRADI WA MAJI KWA KIJIJI CHA SONGWE VIWANDANI, MBEYA
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
UNDP yakabidhi mradi wa dola za marekani 150,000 wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kijiji cha Chamwino
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo akikata utepe kuzindua Kisima cha maji safi na salama katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma mwishoni mwa juma lililopita.
Na Modewjiblog team, Chamwino
KIJIJI cha Manchali kilichopo wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, kimekabidhiwa mradi wa dola za Marekani 150,000 wenye lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mradi huo ulikabidhiwa kijiji hicho na Mratibu wa mashirika ya Umoja wa...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
UNDP kupitia mradi wa DEP yakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200 kwa ofisi ya msajili wa vyama
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
Na Mwandishi wetu
SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200.
Vifaa hivyo ambavyo ni kompyuta za mezani, ‘Scanner’, ‘printer’, mashine ya kutolea nakala (photocopy), simu za mkononi, kompyuta mpakato pamoja na meza, ambavyo vimetolewa na Shirika la Kimataifa la Mradi wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Win the APO Energy Media Awards and travel to Dubai to attend the Africa Energy Forum
APO will offer transport, accommodation and perdiem for the first-place winner to attend the Africa Energy Forum held in Dubai from 8-11 June 2015
APO (African Press Organization) (http://www.apo-opa.com), the sole press release wire in Africa and the global leader in media relations relating to Africa, announced today that entry is now open for the 2015 APO Energy Media Awards (#APOEnergyMediaAward).
APO will offer transport, accommodation and perdiem for the first-place winner to attend...
11 years ago
TheCitizen07 Mar
Court set to hear Ophir, BG’s objections April 1