Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oscars 2020: Filamu hushindaje tuzo ya picha bora?

Oscars 2020: Filamu hushindaje tuzo ya picha bora? Bajeti, umaarufu wa filamu kwenye kumbi za sinema, muda na aina ya filamu zina mchango lakini kwa namna usiyoweza kutarajia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Picha za tuzo za Oscars 2015

Sherehe za kuwatuza wasanii waliobobea katika sanaa mwaka wa 2015 za Oscars ziliandaliwa mapema leo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake

Pamoja na wengi kuamini kuwa ubora wa filamu za Tanzania ni mdogo, wapo vijana wanaofanya filamu tofauti zinazowashangaza hadi wataalam wa industry hiyo nchini Marekani. Timoth Conrad akiwa na tuzo aliyoshinda hivi karibuni nchini Marekani Mmoja wa vijana hao ni Timoth Conrad Kachumia ambaye mwezi huu alishinda tuzo kwenye tamasha la Silicon Valley African Film […]

 

10 years ago

Michuzi

Julianne More na Eddie Redmayne washinda tuzo za uigizaji bora wa filamu za oscar

Mwigizaji  Julianne Moore ndiye mshindi wa mwaka huu wa waigizaji sinema wa kike na kushinda tuzo ya Oscar kwa kucheza vyema kwenye filamu ya "Still Alice."Usiku wa kuamka leo huko Marekani, Moore amewashinda Felicity Jones ("The Theory of Everyting"), Marion Cotillard ("Two Days, One Night"), Reese Witherspoon ("Wild") na  Rosamund Pike ("Gone Girl) katika kinyang'anyiro hicho.  Awali alipendekezwa mara tano kugombea tuzo hiyo ya juu katika tasnia ya sinema duniani, na ni mmoja wa waigizaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Gauni la Lupita Nyong’o gumzo tuzo za Oscars

464155940-1291x1940

Na Modewjiblog team

Mitandao mbalimbali ya kijamii pamoja na majarida makubwa duniani yametoa habari ya gauni la mcheza filamu, mwanamitindo, mwenye asili ya Afrika Mashariki, Lupita Nyong’o wakati wa utoaji wa tuzo kubwa za Oscar.

Katika tuzo hizo ambazo zilikusanya mastaa mbalimbali wa filamu, muziki na wabunifu na wengineo,  Lupita alikuwa gumzo mara baada ya kupita kwenye zulia jekundu na gauni lake hilo lililobuniwa na mbunifu wa mavazi Giorgio Armani  ambapo kila mmoja wapo...

 

10 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa tuzo za Oscars 2015 zilizofanyika Hollywood

Tuzo za 87 za The Academy au The Oscars 2015 zimefanyika usiku wa kuamkia leo the Dolby Theatre huko Hollywood, Los Angeles, Marekani. Hii ni orodha kamili ya ya washindi wa tuzo hizo. Best Picture American Sniper Birdman — WINNER Boyhood The Grand Budapest Hotel The Imitation Game Selma The Theory of Everything Whiplash Actress […]

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA TUZO ZA OSCARS 2015 NA VIVAZI VILIVYOKUWA NG'ARING'ARI

Wasanii walioigiza filamu ya CitizenFour baada ya kupokea tuzoKama kawaida mavazi ya wasanii yalikuwa ya kuvutiaKama kawaida mavazi ya wasanii yalikuwa ya kuvutiaKama kawaida mavazi ya wasanii yalikuwa ya kuvutiaKama kawaida mavazi ya wasanii yalikuwa ya kuvutiaKama kawaida mavazi ya wasanii yalikuwa ya kuvutiaNa kwa wale waliotuzwa ilikuwa tabasamuNa kwa wale waliotuzwa ilikuwa tabasamuNa kwa wale waliotuzwa ilikuwa tabasamuNa kwa wale waliotuzwa ilikuwa tabasamuShamrashamra za kuwatumbuiza...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA MAANDALIZI YA TUZO ZA FILAMU TANZANIA YASAHURIWA KUTANGAZA TASNIA YA FILAMU KIMATAIFA

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fisoo (Kulia) akifungua kikao kati ya wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo pamoja na Kamati ya maandalizi ya Tuzo za TAFA jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel.Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akizungumza na wadau wa filamu waliofika katika Ofisi za Wizara hiyo kuwasilisha taarifa ya maandalizi ya...

 

10 years ago

Michuzi

Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akizungumza na wadau wa filamu waliofika katika Ofisi za Wizara hiyo kuwasilisha taarifa ya maandalizi ya Tuzo za TAFA nchini itakayofanyika tarehe 23 Mei mwaka huu. Kulia ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fisoo.Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za TAFA Bibi. Caroline Gachara Gul (kulia) akiwasilisha taarifa ya maandalizi ya Tuzo za TAFA nchini kwa Uongozi wa Wizara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani