PACHA BOYZ: Kinda wanaochomoza kwenye filamu
VIJANA wengi wa Kitanzania ambao wanaamua kuingia kwenye soko la filamu hivi sasa, hujikita zaidi katika picha za mapenzi. Lakini licha ya wengi wao kujishughulisha na filamu za mapenzi, kuna...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Oct
Video: Hawa ndio New Boyz, waliompa shavu AY kwenye video yake na Sean Kingston
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
JK: Msitetee uraia pacha kwenye blogu
RAIS Jakaya Kikwete, amewataka Watanzania waishio nje ya nchi na wanaotaka kuona Tanzania inakubali kuanzisha mfumo wa uraia pacha, kutumia muda wao kujenga hoja za jambo hilo badala ya kupoteza...
10 years ago
Bongo523 Dec
Picha: Yupi mrembo zaidi? Model kwenye video ya ‘Pacha Wangu’ au yule wa ‘Ntampata Wapi’
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--dkqaBXEMBE/U76wyNCjD0I/AAAAAAAF0ik/ocZZjcTQnp0/s72-c/20.jpg)
SERENGETI BOYZ KUJIPIMA AZAM COMPLEX
![](http://4.bp.blogspot.com/--dkqaBXEMBE/U76wyNCjD0I/AAAAAAAF0ik/ocZZjcTQnp0/s1600/20.jpg)
Mechi hiyo ambayo ni maalumu kwa benchi la ufundi la Serengeti Boyz likiongozwa na kocha Hababuu Ali Omari kuangalia kikosi chao itaanza saa 2 kamili asubuhi.
Serengeti Boyz itacheza mechi yake ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos) siku ya Ijumaa, Julai 18...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rWZ0TLhUqlg/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania03 Dec
St. George yamtaka kinda wa Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WINGA wa timu ya Azam FC, Kelvin Friday, amewavutia mabingwa wa Ligi Kuu ya Ethiopia, St. George, baada ya klabu hiyo kutuma barua ya kumtaka kinda huyo akafanye majaribio.
St. George kwa sasa inafundishwa na kocha wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Mholanzi, Mart Nooij, ambaye amewahi kumuita mara kwa mara Friday kwenye kikosi cha Stars akianzia na Stars Maboresho.
Taarifa iliyotolewa jana katika mtandao wa Azam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_YSPGLjcSlI/default.jpg)