SERENGETI BOYZ KUJIPIMA AZAM COMPLEX

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boyz) inacheza mechi ya kujipima nguvu kesho (Julai 11 mwaka huu) dhidi ya Azam U-20 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Mechi hiyo ambayo ni maalumu kwa benchi la ufundi la Serengeti Boyz likiongozwa na kocha Hababuu Ali Omari kuangalia kikosi chao itaanza saa 2 kamili asubuhi.
Serengeti Boyz itacheza mechi yake ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos) siku ya Ijumaa, Julai 18...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Serengeti Boys kukipiga Azam Complex
MECHI ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya soka Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17 kati ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ na Afrika Kusini ‘Amajimbos’ itachezwa Ijumaa,...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Azam waivaa Ferraviario ndani Azam Complex
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Azam Fc kujipima nguvu na JKT.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Caf yabariki Uwanja wa Azam Complex kimataifa
10 years ago
Michuzi
FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI

Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Yaliyojiri Azam Complex sherehe za ubingwa Ligi Kuu ya Vodacom
DIMBA la Azam Complex, lililoko Chamazi wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, juzi lilikuwa na sura mbili, zote zikibeba taswira ya furaha kwa mashabiki na klabu mwenyeji wa uwanja huo,...
11 years ago
GPL