Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


St. George yamtaka kinda wa Azam

Frid-0cfbaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

WINGA wa timu ya Azam FC, Kelvin Friday, amewavutia mabingwa wa Ligi Kuu ya Ethiopia, St. George, baada ya klabu hiyo kutuma barua ya kumtaka kinda huyo akafanye majaribio.

St. George kwa sasa inafundishwa na kocha wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Mholanzi, Mart Nooij, ambaye amewahi kumuita mara kwa mara Friday kwenye kikosi cha Stars akianzia na Stars Maboresho.

Taarifa iliyotolewa jana katika mtandao wa Azam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge aliyeolewa na kinda atoa mpya

MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rosweeter Kasikila (60), aliyeolewa na kinda wa miaka 26, Michael Christian, amegoma kutoa vyeti vya shule vya kijana huyo na kumtaka...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

PACHA BOYZ: Kinda wanaochomoza kwenye filamu

VIJANA wengi wa Kitanzania ambao wanaamua kuingia kwenye soko la filamu hivi sasa, hujikita zaidi katika picha za mapenzi. Lakini licha ya wengi wao kujishughulisha na filamu za mapenzi, kuna...

 

9 years ago

TheCitizen

OUR KIND OF ENGLISH : Containers ‘not paying’ taxes; loaded ‘tracks’

Enterprising individuals see opportunities where the rest of us don’t. These are individuals who don’t just work hard and make money, they also—and mostly—create opportunities for others to work and earn money too. They know you don’t have to be a teacher to establish a school.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yamtaka Stephen Constantine

Shirikisho la soka Rwanda linamtaka Stephen Constantine kuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya soka

 

5 years ago

BBCSwahili

Erling Braut Haaland: Mshambuliaji kinda wa Dortmund ambaye ni moto wa kuotea mbali

Si Kylian Mbappe, Cristiano Ronaldo ama Lionel Messi walioweza kufikisha rekodi yake wakiwa na umri kama wake.

 

10 years ago

Vijimambo

KINDA WA ARSENAL ALIESHINDWA KUITUMIA TIMU HIYO KWA KUKOSA KIBALI SASA RUKSA.


Silva sasa ruksa Arsenal
Baada ya kushindwa kucheza Arsenal kwa miaka minne kutokana na tatizo la kibali cha kazi, Mbrazili Wellington Silva sasa njia ni nyeupe.
Silva (22) alisajiliwa na Arsenal kutoka Fluminense tangu 2011 lakini akashindwa kucheza kwa vile hakupewa kibali cha kazi kwa vile hakuwa na uzoefu mkubwa na anatoka nje ya Umoja wa Ulaya (EU).Walichofanya Arsenal ni kumpeleka kwa mkopo katika klabu tano tofauti za Hispania (imo kwenye AU) na sasa baada ya miaka minne amepewa uraia...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza ajipime

SERIKALI imemtaka Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Malrose ajipime kama anafaa kuendelea kuiwakilisha nchi yake, na kuagiza nchi yake kumwondoa mara moja. Ametakiwa afike mara moja katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kujieleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yamtaka Dani Alves

Kilabu ya Manchester United inaamini iko katika nafasi nzuri ya kumsajili Dani Alves kutoka Barcelona iwapo kocha Louis Van Gaal anataka kumsajili beki huyo wa kulia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani