Rwanda yamtaka Stephen Constantine
Shirikisho la soka Rwanda linamtaka Stephen Constantine kuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya soka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74843000/jpg/_74843453_rwanda.jpg)
Rwanda want Constantine as coach
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75200000/jpg/_75200967_constantine.jpg)
Constantine aims to inspire Rwanda
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75027000/jpg/_75027846_sc_.jpg)
Constantine eyes 2016 CHAN success
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sMfIhrXOGf4/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania03 Dec
St. George yamtaka kinda wa Azam
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WINGA wa timu ya Azam FC, Kelvin Friday, amewavutia mabingwa wa Ligi Kuu ya Ethiopia, St. George, baada ya klabu hiyo kutuma barua ya kumtaka kinda huyo akafanye majaribio.
St. George kwa sasa inafundishwa na kocha wa zamani wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Mholanzi, Mart Nooij, ambaye amewahi kumuita mara kwa mara Friday kwenye kikosi cha Stars akianzia na Stars Maboresho.
Taarifa iliyotolewa jana katika mtandao wa Azam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu...
11 years ago
Habarileo31 May
Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza ajipime
SERIKALI imemtaka Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Malrose ajipime kama anafaa kuendelea kuiwakilisha nchi yake, na kuagiza nchi yake kumwondoa mara moja. Ametakiwa afike mara moja katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kujieleza.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Chelsea yamtaka Messi kwa £200m
9 years ago
Habarileo04 Oct
TFF yamtaka Mkwasa kusuka, kunyoa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtaka kocha wa muda wa timu ya taifa Taifa Stars Charles Mkwasa kufanya maamuzi kama atabaki kuwa kwenye timu hiyo ama Yanga. TFF ilimpa Mkwasa nafasi ya kuwa kocha wa muda wa Stars baada ya kumfuta kazi Mart Nooij Julai mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Man United yamtaka Dani Alves