Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza ajipime

SERIKALI imemtaka Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Malrose ajipime kama anafaa kuendelea kuiwakilisha nchi yake, na kuagiza nchi yake kumwondoa mara moja. Ametakiwa afike mara moja katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kujieleza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali: ‘Tumeafikiana na Balozi wa Uingereza’

>Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Maselle kutaka Balozi wa Uingereza nchini Dianne Melrose, ajipime kwa kile kinachodaiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi, Serikali imemsafisha balozi huyo ikisema imeshalimaliza suala hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yamtuhumu Balozi wa Uingereza

>Serikali imetangaza rasmi mgogoro wa kidiplomasia kati yake na Balozi wa Uingereza nchini ikimtaka kujieleza kwa madai ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Kauli ya Masele kwa Balozi wa Uingereza, Serikali imetia aibu

>Ukifuatilia sinema iliyofanyika bungeni Dodoma pale Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Masele alipombwatukia Balozi wa Uingeza, Dianna Melrose kuwa anaingilia mambo ya ndani ya nchi, utaona kuna unafiki umejificha ndani yake.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAMTAKA KILA MWANAJAMII KUTAMBUA HAKI ZA WAZEE NA KUWATHAMINI

Na Magreth Kinabo –maelezo30/09/2015Serikali   imemtaka kila mwanajamii kutafakari haki ambazo wazee wanastahili na kuweka mipango ya makusudi katika kuwawezesha kuzipata haki hizo.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt, Donan Mmbando (Pichani) kupitia tamko  la wizara hiyo kuhusu maadhimisho  ya siku ya kimataifa ya wazee duniani itakayofanyika kesho  Oktoba Mosi ,mwaka huu wilayani Kasulu mkoani  Kigoma.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni...

 

10 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, akiweka saini kwenye Kitabu cha Wageni Ofisini kwa Balozi wa Tanzania, Uingereza, jijini London mwishoni mwa juma. Katibu Mkuu Kiongozi, Mheshimiwa Ombeni Sefue, akizungumza na Maafisa wa Ubalozi, alipotembelea Ubalozini hapo. Mheshimiwa Katibu Kiongozi alikuwa nchini Uingereza katika Ziara yake ya kikazi ambayo iliandaliwa na Taasisi ya ESAMI kuhudhuria semina ambayo ilikuwa na lengo la kuwakutanisha Viongozi wa Vyama vya Siasa na Watendaji wa...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimkaribisha kwa furaha, Balozi wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam,  leo June 9, 2014.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Balozi  huyo wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, wakipena mikono kabla ya kuanza mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, June 9, 2014. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran na Uingereza kufungua balozi zao

Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yateua balozi mpya Kenya

Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani