Serikali yamtuhumu Balozi wa Uingereza
>Serikali imetangaza rasmi mgogoro wa kidiplomasia kati yake na Balozi wa Uingereza nchini ikimtaka kujieleza kwa madai ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Serikali: ‘Tumeafikiana na Balozi wa Uingereza’
>Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Maselle kutaka Balozi wa Uingereza nchini Dianne Melrose, ajipime kwa kile kinachodaiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi, Serikali imemsafisha balozi huyo ikisema imeshalimaliza suala hilo.
11 years ago
Habarileo31 May
Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza ajipime
SERIKALI imemtaka Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Malrose ajipime kama anafaa kuendelea kuiwakilisha nchi yake, na kuagiza nchi yake kumwondoa mara moja. Ametakiwa afike mara moja katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kujieleza.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
DIRA: Kauli ya Masele kwa Balozi wa Uingereza, Serikali imetia aibu
>Ukifuatilia sinema iliyofanyika bungeni Dodoma pale Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Masele alipombwatukia Balozi wa Uingeza, Dianna Melrose kuwa anaingilia mambo ya ndani ya nchi, utaona kuna unafiki umejificha ndani yake.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi30 May
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-970hug4sgpE/U5XeQm2f9xI/AAAAAAAAnWY/0qbVSkrf5Cg/s72-c/2.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+kwa+furaha%252C+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
KINANA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-970hug4sgpE/U5XeQm2f9xI/AAAAAAAAnWY/0qbVSkrf5Cg/s1600/2.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+kwa+furaha%252C+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XEeU4Mz3UOw/U5XeUouVMgI/AAAAAAAAnWg/rhI4Kp7tbu0/s1600/3.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-07Kr76oQ2Qk/U5Xedfst3JI/AAAAAAAAnWo/zbDYtDVR8A4/s1600/4.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akizungumza+na+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Iran na Uingereza kufungua balozi zao
Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.
11 years ago
Mwananchi07 May
Balozi Uingereza ashauri Katiba ya wananchi
Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose amesema nchi yake inafuatilia kwa karibu mchakato wa Katiba Mpya ikiamini kwamba Serikali itahakikisha inasimamia upatikanaji wa Katiba hiyo kwa masilahi ya wananchi walio wengi.
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Uingereza yateua balozi mpya Kenya
Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania