Malalamiko Dhidi Ya Balozi Wa Uingereza
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Uingereza yajiunga na vita dhidi ya IS
Uingereza itajiunga na kampeni ya mashambulizi nchini Iraq baada ya wabunge wengi wa taifa hilo kuunga mkono hatua hiyo.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Mwandishi Uingereza aja kuona vita dhidi ya ujangili
Serikali imeanza juhudi za kujinasua kwenye lawama kwamba haifanyi juhudi za kutosha kupambana na ujangili kwa kuwaalika waandishi wa habari wa kimataifa ili kujionea kazi inayofanyika.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-970hug4sgpE/U5XeQm2f9xI/AAAAAAAAnWY/0qbVSkrf5Cg/s72-c/2.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+kwa+furaha%252C+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
KINANA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-970hug4sgpE/U5XeQm2f9xI/AAAAAAAAnWY/0qbVSkrf5Cg/s1600/2.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+kwa+furaha%252C+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XEeU4Mz3UOw/U5XeUouVMgI/AAAAAAAAnWg/rhI4Kp7tbu0/s1600/3.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akimkaribisha+ofisini+kwake%252C+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-07Kr76oQ2Qk/U5Xedfst3JI/AAAAAAAAnWo/zbDYtDVR8A4/s1600/4.+Katibu+Mkuu+wa+CCM+akizungumza+na+Balozi+wa+Uingereza+nchini+Dianna+Melrose.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 May
Serikali yamtuhumu Balozi wa Uingereza
>Serikali imetangaza rasmi mgogoro wa kidiplomasia kati yake na Balozi wa Uingereza nchini ikimtaka kujieleza kwa madai ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Serikali: ‘Tumeafikiana na Balozi wa Uingereza’
>Siku chache baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Maselle kutaka Balozi wa Uingereza nchini Dianne Melrose, ajipime kwa kile kinachodaiwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi, Serikali imemsafisha balozi huyo ikisema imeshalimaliza suala hilo.
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Iran na Uingereza kufungua balozi zao
Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi zao licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za Magharibi.
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Uingereza yateua balozi mpya Kenya
Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania