Pacha wazaliwa wakishikana mikono Marekani
Mama mmoja nchini Marekani, amejifungua watoto pacha wakiwa wameshikana mikono.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5Oj5JvHbyLzpI1lvPhPFrznMF1DedIccLxZmPZ6cK3kixt8Yanoqp2EqzMc55V1YbnwWA5azfCkEOuvnLShtk4a/150416102304_bi_busby__alihitaji_upasuaji_uliojumuisha_madaktari_na_wauguzi_12_kujifungua_watoto_hao_5_624x351_bbc_nocredit.jpg?w)
HAIJAWAHI KUTOKEA, MAPACHA 5 WAZALIWA MAREKANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t2nbsTOd7U8/U18tECx57II/AAAAAAAFd24/pNDfLHi0FQo/s72-c/IMG_5728.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Mhe. Bernard Membe, Naibu Spika Job Ndungai waongelea swala la raia pacha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Beranard Membe akiongoza mazungumuzo ya Raia Pacha alipokua akiongea na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Idd Sandaly na Katibu wake Amos Cherehani (hawapo pichani) wakiwemo maafisa wa Ubalozi na baadhi ya WanaDMV kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne April 8, 2014 alipokaribishwa chakula cha jioni Ubalozini hapo huku Naibu spika Mhe. Job Ndungai akiongezea mawili matatu. Chini ni Audio ya mazungumuzo...
10 years ago
Mtanzania06 Jan
Watoto wazaliwa wameungana
Na Shomari Binda, Musoma
MKAZI wa Kata ya Buhare Manispaa ya Musoma, Helena Paulo (21), amejifungua watoto pacha walioungana sehemu za kifuani na tumboni katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara.
Kutokana na taarifa za kuzaliwa kwa watoto hao kusambaa mitaani, wananchi wengi walimiminika hospitalini hapo kushuhudia.
Watoto hao, walizaliwa Januari 4, mwaka huu saa moja asubuhi.
Hili ni tukio la pili, baada ya lile lililotokea Agosti 6, mwaka jana.
Katika tukio hilo, mkazi wa Katoro...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi
10 years ago
Habarileo06 Apr
Watoto 109 wazaliwa Amana, Mwananyamala
WATOTO 109 wamezaliwa katika usiku wa kuamkia sherehe za Pasaka katika hospitali za Amana na Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo26 Dec
Watoto 124 wazaliwa mkesha wa Krismasi
WATOTO 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Siku Kuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam huku wengi wakiwa wa kiume.
10 years ago
Michuzi01 Jan
WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike na wakiume 10 na mapacha moja na kati ya watoto hao 21...
11 years ago
MichuziMAPACHA WATATU WAZALIWA SALAMA HOSPITALI YA AICC ARUSHA