Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PADRI JOHN WOTHERSPOON ATEMBELEA TANZANIA

Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong. Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Padri John Wotherspoon atembelea tanzania kuonana na familia za walio magerezani kwa kukamatwa na mihadarati hong kong

Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong.
Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
John Wotherspoon...

 

10 years ago

Michuzi

MKURENZI WA UTAWALA WA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UBELIGIJI

Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma Mhe. Nyakimura Muhoji (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao Brussels Ubeligiji. Wa pili kutoka kushoto Ni Bwana Festo Kipate Afisa Mhandamizi kutoka Wizara ya Fedha na wa tatu kutoka kushoto ni Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala, Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya.

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC, Marekani, na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande, ambaye yuko Marekani katika ziara ya kikazi na ujumbe wake,  aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania

 Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe Omar Mjenga leo ametembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL, ambayo ndio kampuni kubwa ya Serikali Dubai, kwa lengo la kujionea miradi mikubwa iliyotekelezwa na kampuni hiyo.
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA



MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA 
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO 

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014

Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa  Tanzania ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina ya mihimili hiyo ambayo kutokana na misingi thabiti imekuwa ikifanya...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO

 Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania, akisalimiana na Bi. Jackline Maleko, Mkurugenzi Mtendaji wa TANTRADE  alipowasili viwanjani hapo kutembelea Maonesho ya 39 ya Biashara ya kimataifa mapema. Mahakama ya Tanzania inashiriki katika Maonesho ya Sabasaba lengo likiwa ni kutoa elimu kwa wananchi juu ya taratibu na huduma mbalimbali zinazotolewa. Katika Banda la Mahakama kuna uwakilishi wa Mahakama za Mwanzo, Wilaya, Mkoa/Hakimu Mkazi, Mahakama Kuu, Mahakama ya Rufani, Tume ya...

 

9 years ago

BBC

Tanzania's John Magufuli in profile

Will Tanzania's president-elect live up to his reputation?

 

9 years ago

Times LIVE

Tanzania's John Magufuli sworn in as president


Times LIVE
Tanzania's John Magufuli sworn in as president
Times LIVE
Tanzania's new President John Magufuli was sworn into office Thursday along with the east African nation's first female vice-president to huge cheers from crowds. Save & Share. Email · Print. Magufuli's win in the October 25 poll with over 58% of votes ...
Seeds of Zanzibar Political Crisis Planted Long Ago - Don Planted UrbingAllAfrica.com
Museveni in Dar es Salaam for Magufuli's inaugurationNew Vision
President Uhuru Kenyatta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani