`Panya Road` rampage: Police intelligence non
IPPmedia`Panya Road` rampage: Police intelligence non-existent, reacting afterwards
IPPmedia
Various neighbourhoods in the city of Dar es Salaam, those fairly close to the central business districts, were victims of a massive rampage of the 'panya road' marauders, a loose brotherhood of petty criminals who find unity in strength, wielding machetes and ...
Let rule of law ruleDaily News
all 4
existent, reacting afterwards
Habari Zinazoendana
10 years ago
IPPmedia05 Jan
Police confuse residents on city `panya road` raids
IPPmedia
IPPmedia
The police force in Dar es Salaam has launched investigation to identify people funding the 'panya road' criminal groups which placed the city in mayhem late Friday, with 36 of them arrested by police for questioning. Briefing reporters at a press conference ...
36 netted in police 'panya road' network crackdownDaily News
all 5
10 years ago
Sabahi Online07 Jan
Tanzanian police stage crackdown on Panya Road gang
IPPmedia
Sabahi Online
Tanzanian police arrested more than 500 suspects allegedly connected to the Panya Road gang, including three ringleaders, in a security sweep following gang violence at the weekend, Tanzania's The Guardian reported Tuesday (January 6th).
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Police Arrest 36 in Connection With Gang ViolenceAllAfrica.com
Dar should act 'big cat' to tame 'Panya Road''Daily News
all 18
10 years ago
CloudsFM05 Jan
Panya Road 36 mbaroni
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.
Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.
Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Mwananchi29 May
Wazazi wa ‘Panya road’ wakamatwa
10 years ago
AllAfrica.Com06 Jan
500 Arrested Over 'Panya Road'
IPPmedia
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam have arrested 510 youth, suspected of being members of a criminal group known as 'panya road,' who are alleged to have invaded and attacked people in the city on Friday evening. Special Zone Police Commander Suleiman Kova ...
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online
all 18
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Panya Road waivuruga Dar
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...
10 years ago
Mtanzania06 Jan
Panya Road 500 mbaroni
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...
10 years ago
Habarileo06 Jan
Panya Road 510 mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 510 wakiwemo viongozi watatu wa kundi linalojihusisha na uhalifu la ‘Panya Road’ .
10 years ago
TheCitizen10 Jan
‘Panya Road’: Possible economic causes and solutions