PATA BREAKING NEWS ZA UCHAGUZI MKUU SASA!
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1GPLBREAKINGNEWS.jpg?width=650)
Kuwa wa kwanza kupata Breaking News za Uchaguzi Mkuu na Kampeni za wagombea Urais, Ubunge na Madiwani kupitia Global Breaking News! Kujisajili tuma GLOBAL kwenda 15778. Huduma hii ni kwa wateja wa Vodacom pekee!
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83u0b97J2yck4d8SIfmpsu5uoSZE1XM2uYn-EqTzrub9vSjFoVWZGqKfq-o0gb6NoM4QnxnZeAKAvpXb6DqTZ4bp/GLOBALBREAKINGNEWS.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxi*tk7t4y0JgpUOCtVCDnih8-HvXyMzqJPj6XHMZU4AlNNpiAuzB1pImJ3nwhrrvLCQhxny*m*lpd3AmM4*eXX4/vodacom.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl958AHp*NRxkGsV1Z0D*1bU1eKIREFw-652385AIE0IHBUKcQkOSwPMlypweHTcNH5lcPqu0G2SGVPSdI7T0q65/1GPLBREAKINGNEWS.jpg?width=650)
JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS SASA!
9 years ago
Mwananchi25 Oct
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8e0m82BHkpkaf4ORHaewZf4tMU3B5wozn7g4CC-28oelVzGBYDYeZi*IQua0YAHFPfPe6YhFwGjjI46FIVDz3xQ34nnLsSm2/BREAKINGNEWS3.gif)
BREAKING NEWS: ZEC YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP*8vYgoC6UpvwrpOUVq0sC8J1FuVe2YYSPeY5izjTLhSc3Z3QjAN-bG4ceuzAK*IgflYONKHJY*x8z2rdTZFX0w/BREAKINGNEWS.gif)
BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA, GABRIEL TUPPA AFARIKI DUNIA
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News!! Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa aliyekuwa TAMISEMI!
Kitendawili cha nani kuwa Waziri Mkuu tayari jibu limepatikana na sasa ni Kissim Majaliwa ambaye alikuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali ya Mitaa (TAMISEMI) Aliyekuwa akishughulikia Elimu.
Jina hilo la Waziri Mkuu liliweza kupelekwa Bungeni kwa mbwembwe na baadae kusomwa. na kutajwa jina hilo ambalo wengi wa hawakulitegemea.
Bunge lililipuka kwa shangwe kwani ilikuwa ni ‘Surprise’ kwa jina hilo kutajwa Bungeni, kushika nafasi kubwa katika nchi.
Kassim...