Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PATA BREAKING NEWS KIGANJANI KWAKO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

PATA BREAKING NEWS ZA UCHAGUZI MKUU SASA!

Kuwa wa kwanza kupata Breaking News za Uchaguzi Mkuu na Kampeni za wagombea Urais, Ubunge na Madiwani kupitia Global Breaking News! Kujisajili tuma GLOBAL kwenda 15778. Huduma hii ni kwa wateja wa Vodacom pekee!

 

10 years ago

Mtanzania

BREAKING NEWS

ajaliHabari ziliotufikia hivi punde ni kwamba Basi la abiria lililokua likitokea Mbeya limepata ajali maeneo ya Mafinga-Changarawe, baada ya kugongana na Lori lililokuwa likitokea Dar es salaam na kupelekea basi kuangukiwa na kontena na kuua abiria 65.

 

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Magufuli aapishwa

MHESHIMIWA dkt John Pombe Joseph Magufuli ameapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. 

Sherehe ya kuapishwa kwake imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania.

Aidha Rais Magufuli anashika wadhifa huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza kipindi chake cha miaka 10.

Fuatilia tovuti yetu kwa habari zaidi.

 

11 years ago

GPL

JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS

JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS SASA KWA SHILINGI 100 TU KWA SIKU: KUJIUNGA TUMA GLOBAL KWENDA 15778. HUDUMA HII NI KWA WATUMIAJI WA VODACOM TU!

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

BREAKING NEWS!!! - KAFULILA KUPANDISHWA KIZIMBANI



David Kafulila (Mbg)
SAKATA la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumburuta mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na kumfungulia kesi ya madai ya sh. bilioni 310.
IPTL kwa kushirikiana na Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited na Mtendaji Mkuu wa kampuni hizo, Harbinder Sign Seth, wamemburuta Kafulila katika Mahakama Kuu ya...

 

9 years ago

GPL

BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS

Dk. John Pombe Magufuli. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 8,882,935  sawa na asilimia 58.46%.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani