BREAKING NEWS
Habari ziliotufikia hivi punde ni kwamba Basi la abiria lililokua likitokea Mbeya limepata ajali maeneo ya Mafinga-Changarawe, baada ya kugongana na Lori lililokuwa likitokea Dar es salaam na kupelekea basi kuangukiwa na kontena na kuua abiria 65.
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0ZYLeh9an1zS8uMDKgftiZIiDEClHqukplmoZUQodFW8QuHb6LEQ3FkWJnzOivSaw-ZZIC8VODL25VoKETQop9/GPL.jpg?width=650)
JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS
9 years ago
Habarileo05 Nov
BREAKING NEWS: Magufuli aapishwa
MHESHIMIWA dkt John Pombe Joseph Magufuli ameapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Sherehe ya kuapishwa kwake imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania.
Aidha Rais Magufuli anashika wadhifa huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza kipindi chake cha miaka 10.
Fuatilia tovuti yetu kwa habari zaidi.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s72-c/kafulila.jpg)
BREAKING NEWS!!! - KAFULILA KUPANDISHWA KIZIMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s1600/kafulila.jpg)
SAKATA la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumburuta mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na kumfungulia kesi ya madai ya sh. bilioni 310.
IPTL kwa kushirikiana na Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited na Mtendaji Mkuu wa kampuni hizo, Harbinder Sign Seth, wamemburuta Kafulila katika Mahakama Kuu ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKINGNEWS31.gif)
BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83u0b97J2yck4d8SIfmpsu5uoSZE1XM2uYn-EqTzrub9vSjFoVWZGqKfq-o0gb6NoM4QnxnZeAKAvpXb6DqTZ4bp/GLOBALBREAKINGNEWS.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl958AHp*NRxkGsV1Z0D*1bU1eKIREFw-652385AIE0IHBUKcQkOSwPMlypweHTcNH5lcPqu0G2SGVPSdI7T0q65/1GPLBREAKINGNEWS.jpg?width=650)
JIUNGE NA GLOBAL BREAKING NEWS SASA!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/mawazo-2.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
10 years ago
VijimamboBREAKING NEWS ! DR. SLAAS ARRIVES IN THE US, DISCUSSES CONSTITUTIONâ€
CHADEMA Secretary General, Dr. Wilbrod Slaa has arrived safely into the United States, in the State of Indiana, where he was met by the State Governor Mike Pence at Indianapolis International Airport before proceeding to the State Capital, (Governors mansion) where they exchanged ideas and planned a follow up discussions in a couple of days to come.
Dr. Slaa...