PDP chalaumiwa kwa kuhujumu uchumi Nigeria.
Uongozi wa Muhamadu Buhari ambao utachukua madaraka siku ya ijumaa wiki hii unailaumu utawala wa Goodluck Jonathan kwa kuhujumu uchumi
Uongozi wa serikali mpya ya rais Muhamadu Buhari ambayo itaingia madarakani siku ya ijumaa wiki hii inaulaumu utawala unaondoka wa Goodluck Jonathan kwa kuhujumu taifa hilo lenye uchumi mkubwa zaidi barani Afrika.
Uongozi wa All Progressives Congress (APC) unailaumu utawala uliopoa sasa kwa ukosefu mkubwa wa mafuta ukosefu wa umeme na upungufu wa uzalishaji...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
Nigeria:PDP lawamani kwa kuhujumu uchumi
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Mlebanoni kizimbani kwa kuhujumu uchumi
RAIA wa Lebanon, Mohamed Attwi (27), amepandiswa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, akikabiliwa na mashitaka sita likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-1BIq66NTZYU/VnMFlIVetMI/AAAAAAAAVPM/RTUFVaP4vK4/s640/ndovu12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMk73Npq4JY/VnMFkHdt44I/AAAAAAAAVPE/6-HoGPr4IZA/s640/ndovu.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.
Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Nigeria: Uchumi unategemea kuwepo kwa kawi
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mbaroni kwa kuhujumu BVR
MTU mmoja anashikiliwa na Polisi kwa kujifanya ni Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) huku akidaiwa kushirikiana na watu wengine wasiohusika na uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuhujumu mfumo wa mashine za BVR mkoani Mwanza.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OK1L9hq-5uI/UzMta3xljgI/AAAAAAAFWrU/Y1f8Q0lnotA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
RAIA WA KENYA KIZIMBANI KWA KUHUJUMU SERIKALI NA TCRA
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Obasanjo atimuliwa chamani PDP
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Sanaa kuinua uchumi Nigeria, Tanzania tunalo la kujifunza
HIVI karibuni dunia imeshuhudia na kushtushwa na namna ambavyo taifa la Nigeria limekua kiuchumi barani Afrika na kufanikiwa kuipiku Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa katika takwimu mpya zilizotolewa za kupandisha pato...
11 years ago
Dewji Blog08 May
Rais Kikwete katika Mkutano wa Dunia wa Uchumi Jijini Abuja, Nigeria
World Economic Forum Founder and Chairman Prof. Klaus Shwab pins a WEF pin on President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in the sidelines of the World Economic Forum in Abuja.
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in talks with the World Economic Forum Founder and Chairman Prof. Klaus Shwab in the side lines of the World Economic Forum in Abuja.