Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obasanjo atimuliwa chamani PDP

Obasanjo ametimuliwa kutoka chama tawala cha PDP kwa kumkashifu rais Jonathan mbali na kupasua kadi yake hadharani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zambia:Kaimu rais atimuliwa chamani

Chama tawala nchini Zambia (PF) kimemtimua kaimu rais wa nchi hiyo Guys Scott kutoka chamani na kuvunja utaratibu wa katiba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe awashtumu wapinzani wake chamani

Rais Robert Mugabe amewalaumu watu fulani ndani ya chama tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng'atua mamlakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:PDP lawamani kwa kuhujumu uchumi

Uongozi wa Muhamadu Buhari ambao utachukua madaraka siku ya ijumaa wiki hii unailaumu utawala wa Goodluck Jonathan kwa kuhujumu uchumi

 

10 years ago

StarTV

PDP chalaumiwa kwa kuhujumu uchumi Nigeria.


Uongozi wa Muhamadu Buhari ambao utachukua madaraka siku ya ijumaa wiki hii unailaumu utawala wa Goodluck Jonathan kwa kuhujumu uchumi

Uongozi wa serikali mpya ya rais Muhamadu Buhari ambayo itaingia madarakani siku ya ijumaa wiki hii inaulaumu utawala unaondoka wa Goodluck Jonathan kwa kuhujumu taifa hilo lenye uchumi mkubwa zaidi barani Afrika.

Uongozi wa All Progressives Congress (APC) unailaumu utawala uliopoa sasa kwa ukosefu mkubwa wa mafuta ukosefu wa umeme na upungufu wa uzalishaji...

 

11 years ago

BBC

Nigeria row over Obasanjo letter

Nigerian President Goodluck Jonathan's office hits back at ex-leader Olusegun Obasanjo for a "provocative" letter condemning his leadership and telling him not to seek re-election.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Obasanjo ajeruhiwa Nigeria

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo amejeruhiwa wakati wa mapambano na Boko Haram

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Obasanjo: Jonathan 'overwhelmed'

Former Nigeria President Olusegun Obasanjo tells the BBC that current leader Goodluck Jonathan is "overwhelmed" by the Boko Haram insurgency in the north of the country.

 

10 years ago

Mtanzania

Obasanjo achana kadi ya chama tawala

ObasanjoMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, juzi alichana kadi yake ya uanachama wa chama tawala cha Peoples Democratic (PDP) na kutangaza kuachana na siasa.
Obasanjo aliichana kadi yake hiyo katika makazi yake ya Hilltop huko Abeokuta Kaskazini wakati akizungumza na viongozi wa PDP kutoka kata 11.
Viongozi wa chama hicho katika kata hizo walienda kumwona Obasanjo ili kusafisha hali ya hewa baada ya kuibuka minong’ono kwamba ametimuliwa kutoka chama...

 

10 years ago

GPL

OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO

RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. RAIS wa zamani wa Nigeria,   Chifu Olusegun Obasanjo, amefiwa na dada yake  mdogo aitwaye Adunni Oluniola Eweje-Obasanjo, aliyekuwa na umri wa miaka 76. Obasanjo alitangaza habari hizo nyumbani kwake Abeokuta  baada ya kurejea katika ziara kusini-magharibi mwa nchi hiyo alikokuwa ameanza ziara ya kukutana na wanawake katika warsha maalum. Wanawake hao kutoka katika jumuia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani