Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Obasanjo ajeruhiwa Nigeria

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo amejeruhiwa wakati wa mapambano na Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Nigeria row over Obasanjo letter

Nigerian President Goodluck Jonathan's office hits back at ex-leader Olusegun Obasanjo for a "provocative" letter condemning his leadership and telling him not to seek re-election.

 

11 years ago

BBC

Nigeria leader hits back at Obasanjo

Nigeria's President Goodluck Jonathan accuses ex-leader Olusegun Obasanjo of threatening "national security" by whipping up opposition to his rule.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete ateta na Rais wa Zamani wa Nigeria,Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa Ethiopia leo wakati wa kikao maalum kilichojadili hali ya usalama Barani Afrika.Rais Kikwete aliwasili nchini Ethiopia jana kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika(African Union) AU.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya

SAM_2888

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).

Na modewji blog

Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga  vijijini, mkoani Rukwa.

unnamed

Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obasanjo atimuliwa chamani PDP

Obasanjo ametimuliwa kutoka chama tawala cha PDP kwa kumkashifu rais Jonathan mbali na kupasua kadi yake hadharani.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Obasanjo: Jonathan 'overwhelmed'

Former Nigeria President Olusegun Obasanjo tells the BBC that current leader Goodluck Jonathan is "overwhelmed" by the Boko Haram insurgency in the north of the country.

 

9 years ago

BBCSwahili

6 wakamatwa kwa kuuza mtoto Nigeria

Polisi nchini Nigeria wamewakamata watu sita katika eneo la Kusini Mashariki mwa Nigeria kwa tuhuma ya kumuuza mtoto mchanga wa wiki mbili .

 

10 years ago

Mtanzania

Obasanjo achana kadi ya chama tawala

ObasanjoMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, juzi alichana kadi yake ya uanachama wa chama tawala cha Peoples Democratic (PDP) na kutangaza kuachana na siasa.
Obasanjo aliichana kadi yake hiyo katika makazi yake ya Hilltop huko Abeokuta Kaskazini wakati akizungumza na viongozi wa PDP kutoka kata 11.
Viongozi wa chama hicho katika kata hizo walienda kumwona Obasanjo ili kusafisha hali ya hewa baada ya kuibuka minong’ono kwamba ametimuliwa kutoka chama...

 

10 years ago

GPL

OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO

RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. RAIS wa zamani wa Nigeria,   Chifu Olusegun Obasanjo, amefiwa na dada yake  mdogo aitwaye Adunni Oluniola Eweje-Obasanjo, aliyekuwa na umri wa miaka 76. Obasanjo alitangaza habari hizo nyumbani kwake Abeokuta  baada ya kurejea katika ziara kusini-magharibi mwa nchi hiyo alikokuwa ameanza ziara ya kukutana na wanawake katika warsha maalum. Wanawake hao kutoka katika jumuia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani