6 wakamatwa kwa kuuza mtoto Nigeria
Polisi nchini Nigeria wamewakamata watu sita katika eneo la Kusini Mashariki mwa Nigeria kwa tuhuma ya kumuuza mtoto mchanga wa wiki mbili .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Jan
Watu 23 wakamatwa kwa kuuza holela tanzanite
ZAIDI ya wafanyabiashara 23 wa madini aina ya Tanzanite wamekamatwa na kutozwa faini kwa kufanya biashara bila ya kuwa na leseni katika Mji wa Mererani wilayani Simanjiro na kwenye mitaa ya Jiji la Arusha .
10 years ago
Mtanzania23 May
Sita wakamatwa kwa kuuza viungo vya binadamu
Na Paul Kayanda, Kahama
JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewatia mbaroni watu sita wakiwa katika harakati za kuuza viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema watuhumiwa hao walikamatwa Mei 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa katika nyumba ya kulala wageni iliyopo Mtaa wa Phantom, Kata ya Nyasubi wilayani hapa.
Alisema katika msako huo ulioendeshwa kwa...
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Akamatwa akijaribu kuuza mtoto wa miezi 3
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Mwanamke anayedaiwa kuuza mtoto mtandaoni ashtakiwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mtoto wa Obasanjo ajeruhiwa Nigeria
10 years ago
Habarileo01 Jan
112 wakamatwa kwa ugaidi
KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Wakamatwa kwa kuwachoma wanaume 3