Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pendekezo la urais lapingwa

PENDEKEZO la wajumbe wachache wa Bunge Maalumu la kutaka muda wa Rais kushika madaraka uongezwe kutoka miaka mitano hadi saba, limezusha mjadala. Juzi, maoni ya wajumbe wachache wa kamati namba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba lapingwa

Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Mwalimu Nyerere Idealogy Conservation Society ya jijini Tanga, imefungua Kesi Mahakama Kuu ikitaka kuzuia mchakato wa Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaigomea UN pendekezo la kuruhusu ushoga

Tanzania imegoma kuridhia pendekezo linalotaka haki kwa watu wenye uhusiano ya jinsia moja kuingizwa katika sheria za ndani lililotolewa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa chini ya mapendekezo ya pamoja ya dunia.

 

5 years ago

CCM Blog

UTURUKI YAKATAA PENDEKEZO LA RUSSIA KUHUSU IDLIB

Uturuki yakataa pendekezo la Russia kuhusu IdlibMsemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa hadi sasa nchi hiyo haijafikia natija ya kuridhisha kuhusiana na pendekezo la Russia la kusitisha mapigano katika mkoa wa Idlib nchini Syria.Akizungumzia suala hilo mbele ya waandishi habari siku ya Jumatano, İbrahim Kalın amesema kuwa duru kadhaa za mazunguzmo kati ya jumbe za Uturuki na Russia ambayo yamefanyika katika miji mikuu ya nchi hizo yaani Ankara na Moscow, kuhusu udharura wa usitishwaji vita katika mkoa wa Idlib hazijakuwa na...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia mifugo yao kenye Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani