Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaigomea UN pendekezo la kuruhusu ushoga

Tanzania imegoma kuridhia pendekezo linalotaka haki kwa watu wenye uhusiano ya jinsia moja kuingizwa katika sheria za ndani lililotolewa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa chini ya mapendekezo ya pamoja ya dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Serikali kuruhusu wajawazito kuendelea na masomo

pg2 nov 26NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM

SERIKALI imetangaza mpango wake wa kuwaruhusu wanafunzi wa kike wanaopata ujauzito kuendelea na masomo ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na ukatili wa kijinsia.

Akizungumza jana katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa jinsia yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Paulina Mkonongo, alisema ujauzito ni miongoni mwa sababu za wanafunzi wengi kuacha shule.

“Serikali yetu ina...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu wa michezo baada ya Magufuli kuruhusu iendelee

Serikali ya Tanzania imetoa wito wa kuzingatiwa kwa mwongozo wa Afya michezoni, wakati Ligi ya soka na michezo mingine itakaporuhusiwa kuendelea nchini humo kuanzia Kesho Juni Mosi.

 

11 years ago

Mwananchi

TOC yaigomea RT

Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) imelikataa ombi la Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) la kutumia mashindano ya taifa ya riadha kuteua timu itakayoshiriki kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni

MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pendekezo la urais lapingwa

PENDEKEZO la wajumbe wachache wa Bunge Maalumu la kutaka muda wa Rais kushika madaraka uongezwe kutoka miaka mitano hadi saba, limezusha mjadala. Juzi, maoni ya wajumbe wachache wa kamati namba...

 

5 years ago

CCM Blog

UTURUKI YAKATAA PENDEKEZO LA RUSSIA KUHUSU IDLIB

Uturuki yakataa pendekezo la Russia kuhusu IdlibMsemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa hadi sasa nchi hiyo haijafikia natija ya kuridhisha kuhusiana na pendekezo la Russia la kusitisha mapigano katika mkoa wa Idlib nchini Syria.Akizungumzia suala hilo mbele ya waandishi habari siku ya Jumatano, İbrahim Kalın amesema kuwa duru kadhaa za mazunguzmo kati ya jumbe za Uturuki na Russia ambayo yamefanyika katika miji mikuu ya nchi hizo yaani Ankara na Moscow, kuhusu udharura wa usitishwaji vita katika mkoa wa Idlib hazijakuwa na...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia mifugo yao kenye Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wapongezwa kuruhusu skauti

MKURUGENZI wa kampuni ya Tugeme Enterprises ya mjini Tukuyu wilayani Rungwe, Mbeya, Tumaini Mwaijande, amewapongeza wazazi nchini kwa uamuzi wa kuwaruhusu watoto wao kujiunga na Skauti licha ya kuwa wanafunzi....

 

11 years ago

BBCSwahili

Ombi la kuruhusu uchunguzi kuhusu ajali

Wito zaidi umetolewa kwa wataalamu wa kimataifa waruhusiwe kikamilifu kulikagua eneo ambalo ndege ya Malaysia ilidunguliwa mashariki mwa Ukraine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani