Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ombi la kuruhusu uchunguzi kuhusu ajali

Wito zaidi umetolewa kwa wataalamu wa kimataifa waruhusiwe kikamilifu kulikagua eneo ambalo ndege ya Malaysia ilidunguliwa mashariki mwa Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ombi la Mashabiki Kwa Kadinda, Kuhusu Bifu la Wema na Kajala

Mashabiki na wadau mabalimbali wamemuomba Martin Kadinda amabe ni meneja wa Staa Wema Sepetu, asaidia kuwapatatisha wema na Kajala ili warudi kuwa karibu kama zamani.

Mashabiki na wadau wengi walimwaga komenti za kumuomba Kadinda asaidie kumaliza tofauti kati ya mastaa hao kwenye ukurasa wa Kajala mara baada ya kajala kubandika picha akiwa na Kadinda na kuonekana wanafuraha.

“ Kweli martin jaribu kuwaweka sawa i know wema ni mtu mwenye moyo wa huruma sana atamsamehe tu mshawishi” mmoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wabaini sababu za kutokoma kwa ajali za barabarani

>Ajali za vyombo vya usafiri wa majini na barabarani huenda zikaendelea kutokea nchini na kuchukua uhai wa watu wengi zaidi kila kukicha kutokana Serikali kuwaadhibu madereva tu na kuwaacha maofisa waliohusika na miundombinu mibovu na wanaoshindwa kukagua ipasavyo vyombo hivyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

Usiyoyajua kuhusu uchunguzi wa miili ya maiti nchini Tanzania

>Maiti ya Adrian Louis iliokotwa kando ya barabara kuu ya kwenda Lukuledi wilayani Masasi katika Mkoa wa Mtwara.

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya Kimataifa

PAC imeanza uchunguzi kuhusu ukwepaji kodi unaofanywa na makampuni ya kimataifa.

Leo tarehe 30 Machi 2014, kamati ya BUNGE ya PAC imeanza rasmi uchunguzi kuhusu ukubwa wa tatizo la ukwepaji kodi na utoroshwaji wa fedha unaofanywa na makampuni ya kimataifa ( multinational corporations). Uchunguzi huu unatokana azimio la umoja wa kamati za PAC za nchi za SADCOPAC lilioamuliwa Arusha, Tanzania mwezi Septemba mwaka 2013 ( Azimio lilisomeka – PACs should initiate investigations on the extent of...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Mnyika aipa angalizo serikali kuhusu ajali.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika, ameitaka serikali kulichukulia kwa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali za barabarani, kama ambavyo taifa linavyotumia nguvu kubwa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yaliyofumka kwa kasi kubwa nchini.

Mnyika alisema takwimu za kiwango cha ajali zilizotokea ndani ya siku 102...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani