Picha 15 muonekano wa Dar town na kamvua kidogo leo Dec 28
Najua kuna watu wangu wanapenda kufahamu hali ya mazingira yanavyokuwa katika kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka katika maeneo mbalimbali, Na tayari ripota wa millardayo.com amefanya kazi hiyo na ameyakusanya matukio katika picha yakionyesha muonekano wa baadhi ya maeneo katika jiji la Dar es salaam leo Dec 28 2015. Unataka kutumiwa MSG za habari […]
The post Picha 15 muonekano wa Dar town na kamvua kidogo leo Dec 28 appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz)
Leo Dec 25 ni siku ambayo Wakristo wa mataifa mbalimbali huisherehekea kama siku ya Christmas, Tanzania pia ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo. Ingawa tumezoea kuona shamrashamra nyingi katika siku kama hii kwa maeneo mengi, hapa ripota wa millardayo.com anakusogezea picha kadhaa kutokea Mkoani Tanga hali inavyoonekana kwa siku hii ya leo. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Licha ya kuwa leo ni Sikukuu, lakini huu ndio muonekano wa Tanga Dec 25….(+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha)
Dec 22, 2015 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay amefanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake kwa kumchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo. Mbunge huyo pia aliweza kuwaruhusu wananchi wake wazungumze kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Hizi ni baadhi ya picha kutoka eneo ambalo mkutano huo ulipofanyika leo […]
The post Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Rais MAGUFULI alivyokutana na Maalim Seif leo Dec.21,2015 ikulu…Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli leo Desemba 21,2015 amekutana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Maalim Seif Ikulu Dar es salaam na kufanya naye Mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa visiwani humo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Rais MAGUFULI alivyokutana na Maalim Seif leo Dec.21,2015 ikulu…Picha appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha)
Christmas ya mwaka 2015 itabakia kuwa na historia kubwa kwenye dunia ya burudani, 88.5 usiku wa Dec 25 wamepokea shangwe za burudani kutoka kwa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam. Hapa nimekusogezea picha 20 uone jinsi kilivyohappen Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo09 Feb
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Picha 20 muonekano wa Zanzibari Jan 4 2016
Tayari tumeanza kuzihesabu siku katika mwaka 2016, kuna mengi yamepita na yatabaki kama kumbukumbu na kuna mengine yanakuja na tutaendelea kuyaishi bila utofauti. Hapa nakusogezea muonekano wa Zanzibari na maeneo yake mbalimbali January 1 2016 Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]
The post Picha 20 muonekano wa Zanzibari Jan 4 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s72-c/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
MUONEKANO WA PICHA MLIMA KILIMANJARO ILIYOPIGWA NA DKT. JAKAYA KIKWETE YAWA GUMZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s640/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha: Kampuni ya Japan yatengeneza ‘midoli ya mapenzi’ yenye muonekano halisi wa mwanamke anayevutia!