Picha: Banky W na Millen Magese wanasoma chuo kimoja, New York Film Academy
Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese na CEO wa label ya EME (iliyomtoa Wizkid), Banky W ambaye pia ni muimbaji wa R&B, wanasoma kwenye chuo kimoja, New York Film Academy. Wawili hao pia ni marafiki wa karibu. Banky W na Millen Magese wakiwa na sehemu ya timu kwenye project hiyo Kama sehemu ya kazi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond Platnumz….(+Picha)
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz. Safari hii kundi hilo limeamua kushoot pia na supermodel kutokea Tanzania Millen Magese ambaye ataonekana katika video hiyo mpya iliyotayarishwa huko Johannesburg, Afrika Kusini. Hizi ni baadhi ya picha zikionesha Mafikizolo, Diamond Platnumz […]
The post Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond...
11 years ago
Michuzi
MISS UNIVERSE TANZANIA 2011 NELLY KAMWELU ENROLLS AT THE NEW YORK FILM ACADEMY

Nelly Kamwelu won the Miss Universe Tanzania and Miss Southern Africa International titles in 2011. She...
11 years ago
Michuzi18 Jul
MASIKINI HAPPINESS MILLEN MAGESE!!!


10 years ago
GPL
MILLEN MAGESE AMSAPRAIZ JOKATE
10 years ago
TheCitizen05 Jun
Millen Magese: My voice has been heard
11 years ago
MichuziMILLEN MAGESE AOMBA USHIRIKIANO SERIKALINI NA WANANCHI KWA UJUMLA
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla. Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...
10 years ago
Africanjam.Com
MILLEN MAGESE KUIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BET AWARDS 2015

11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Naiomba Serikali kunipa eneo la Hospitali ya Wanawake — Millen Magese
MWANAMITINDO wa kimataifa wa hapa nchini na Miss Tanzania 2001 anaefanya kazi yake hiyo nchini Marekani Millen Magese ameiomba serikali kumpatia eneo ambalo atalitumia kujenga hospitali maalum ya kushugulikia afya ya wanawake.
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla.
Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...