Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Harusi ya mdogo wake Beyonce yamalizika kwa majanga!

Kama ingekuwa Bongo basi watu wangeamini kuwa bibi harusi karogwa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mdogo wake Beyonce, Solange alifunga ndoa na kusherehekea kwa furaha lakini ilipomalizika mwili wake hususan usoni uliibuka na vipele (hives) kama tetekuwanga! Solange akionekana kuwa kwenye maumivu baada ya kuibuka vipele hivyo vinavyodaiwa kutokana na allergy Beyonce alikuwa karibu kumsaidia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE

Mdogo wake Zari nae ni Ng'ari Ng'ari hile full package kiroho safi.Mama wa Zari na Mdogo wake mama anaonekana kama kidogo afya siyo yenyewe labda utu uzima.Zari na kitu cha black mwilini hapa kabla ya vimarekani vya mimba kuchumoza.She is my Queen, my old sun aka Mama Zarinah Hassan Nasur!!!!

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jay Z na Beyonce waoneshana mahaba kwa ku-kiss jukwaani kwenye tamasha la Tidal X: 1020

Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa mastaa walioshambulia jukwaa kwenye tamasha ya Tidal X: 1020 lililofanyika Jumanne Oct 20 jijini New York. Beyonce na mumewe Jay Z hawakusita kuudhihirishia ulimwengu kuwa mapenzi yao bado yana nguvu kwa kushare ‘kiss’ wakiwa jukwaani. Wengine waliotumbuiza kwenye tamasha hilo ni Nicki Minaj, Usher na Lil Wayne, Meek […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake

Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe. Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam. Photo Credit: Various Instagram Pages Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]

 

10 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt wauza picha zao za harusi kwa shilingi bilioni 3.3

Kanye West na Kim Kardashian walikataa kuuza picha zao za harusi lakini si kwa Angelina Jolie na Brad Pitt. Mastaa hao ambao kwa pamoja hujulikana kama Brangelina wameuza picha zao za harusi kwa dola milioni 2, ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 3.3 za Tanzania. Kiasi hicho cha fedha kimepatikana baada ya kulipwa na majarida […]

 

11 years ago

Bongo5

Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video ya ‘Mdogo mdogo’ ya Diamond Platnumz iliyotoka Jumatatu ya wiki hii. Wapo ambao wamefurahishwa na story iliyoko kwenye video hiyo na wengine ambao hawajaiunga mkono moja kwa moja kutokana na kila mmoja kuwa na sababu tofauti hali ambayo imeleta mabishano mengi katika comments za youtube na kwingine. Lakini […]

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kumnajisi mdogo wake

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega, imemhukumu mkazi wa wilaya hiyo, Jumanne Masanja (23), kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kunajisi mdogo wake wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

11 years ago

CloudsFM

KIM KARDASHIAN APOST PICHA ZAKE ZA HARUSI NA KANYE WEST KWA MARA YA KWANZA KWENYE INSTAGRAM

Kim Kardashian na Kanye West wakiwa wameshikana mikono baada ya kufunga ndoa mwishoni mwa wiki iliyopita huko Forte di Belvedere Florence, Italia.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!

Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi. Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine. Pastor Myamba na mkewe […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani